Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata BBC official news wameripoti hivyo. Kwamba ni kwa Arab na Islamic world. Halafu siye mieusi tii tunapanua midomo ooh ushindi wa Africa, wapii?Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!
Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.
View attachment 2438715
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyinyi miafrika myeusi mpira hamjui, kazi yenu ni uchawa na uchura tu.
Kwahiyo sisi waarabu hatuwezi kuwapambanieni nyinyi ngozi ya goti, hilo mukae mkijua.
Kwani si mulikua na vitimu vyenu kwenye michuano hii?
Kwataarifa yenu sisi tunachukua ubingwa, na hatutaki mutushabikie.
KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
"Kobe nyie"
Dah we jamaa ..Ni kama "WARAKA WA PAULO KWA WAEFESO" unavyosomwa kwenye makanisa afrika. Kwa maneno mengine ni kama wametutaja tu..
Kumbe tatizo ni rangi na dini ndio wame onekana sio waafrika, tukirudi nyuma ki historia Gaddafi alikua ana vaa beige ya Africa sijui alikua mjerumani?Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!
Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.
View attachment 2438715
Kuna baadhi ya watu waliozaliwa sehemu ni kabila Moja, dini Moja , rangi Moja na kwa kuwa hawajawahi kujichanganya na jamii zingine huamini dini zao, Mila zao ,kabila zao ni Bora na superior kuliko wengine.jinga sana ili chezaji hakukuwa na sababu ya yeye kuongea maneno yale wakina al haji diof wakiwa wanawatoa France mbona awakusema huu ushindi ni kwa ajili ya wa Africa weusi tu,waislamu na wasenegal ..
Nyie machoko tu mbona huyo ashraf hakim mama yake ni mweusiNyinyi miafrika myeusi mpira hamjui, kazi yenu ni uchawa na uchura tu.
Kwahiyo sisi waarabu hatuwezi kuwapambanieni nyinyi ngozi ya goti, hilo mukae mkijua.
Kwani si mulikua na vitimu vyenu kwenye michuano hii?
Kwataarifa yenu sisi tunachukua ubingwa, na hatutaki mutushabikie.
KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
"Kobe nyie"
Nikweli lakin kuna mataifa ya kiarabu hayataki umoja.AFRICA NI MOJA
Ni kama tu vile Uturuki inavyoshiriki UEFA na Euro cup.
Waarab wote ni sawa. Ni vile hujafatilia tu.Katika waarabu wote wa Africa hao wa moroco ndio wanajionaga special sana.
Wamisri, Tunisia, Algeria, Libya, western Sahara Wala hawana hizo stereotypes.
Jibu la kwanza ni Jibu sahihi. Ama niseme wazo la kwanza linatoka ktk subconscious mind hilo ndilo analowaza mtu na limeujaza moyo wake.Ame tweet tena Boufal
View attachment 2438867
"I apologize for not mentioning the whole african continent yesterday at the interview. Thank you for being there for us, I dedicate this win for you too. We are so proud to represent all our brothers from this continent"
Nimeangalia world cup mechi zote za Makundi na nyingi 16 round, Wa Africa wote walikuwa pamoja, Mashabiki wengi sawa wa Morocco wameshabikia Senegal na ulikuwa ukiwaona kwenye tv na vyombo mbalimbali, wengine hadi kigoma. Walikuwa wanakicheza.
Mimi mkuu namaliza Advance form 6 kuna Scholariship kibao, za kwenda Algeria, Gadafi tunamjua na misimamo yake, Tumeona Mfalme wa Morocco alikuja hapa na misaada yake, je sisi tumewasaidia nini hizo nchi?Nikweli lakin kuna mataifa ya kiarabu hayataki umoja.
Uturuki haipo bara la ulaya. Haya au kama Israel inavyoshiriki uefa na champions ligue.Halafu mimi sijaongelea dini.Ila waislam mna udini jamani. Haya nimekupa mfano wa Israël.Uturuki iko Ulaya na waturuki ni wazungu sio waarabu...umeonesha ignorance yako Tu au chuki...
Albania waislam na ni wazungu.na iko ulaya.
Azerbaijan waislam ni wazungu na iko Ulaya... Kosovo waislam wazungu wako Ulaya....sio kila mweupe mwisalam ni mwarabu......Hao wote wazungu wako Ulaya... Chechnya wazungu waislam wako Europe..
Uturuki kama Urusi ipo kote kote Ulaya na Asia.Uturuki haipo bara la ulaya. Haya au kama Israel inavyoshiriki uefa na champions ligue.Halafu mimi sijaongelea dini.Ila waislam mna udini jamani. Haya nimekupa mfano wa Israël.
Hii hapa..
👇👇
Uturuki ipo Ulaya...usibishe bila kufanya tafiti...Urusi na Uturuki zote zipo Ulaya na Asia Kwa pamoja.... geographically....Uturuki haipo bara la ulaya. Haya au kama Israel inavyoshiriki uefa na champions ligue.Halafu mimi sijaongelea dini.Ila waislam mna udini jamani. Haya nimekupa mfano wa Israël.