Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!

Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.

#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.

View attachment 2438715
Hata BBC official news wameripoti hivyo. Kwamba ni kwa Arab na Islamic world. Halafu siye mieusi tii tunapanua midomo ooh ushindi wa Africa, wapii?
 
Nyinyi miafrika myeusi mpira hamjui, kazi yenu ni uchawa na uchura tu.
Kwahiyo sisi waarabu hatuwezi kuwapambanieni nyinyi ngozi ya goti, hilo mukae mkijua.

Kwani si mulikua na vitimu vyenu kwenye michuano hii?
Kwataarifa yenu sisi tunachukua ubingwa, na hatutaki mutushabikie.
KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
"Kobe nyie"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mnapaniki nini sasa sinmshabikie timu yenu taifa staff
 
Morocco Egypt na Libya zilishakataa kuwa wao siyo Waafrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika!

Na ni Morocco ndiyo waliopinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa Kombe la Dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa.

#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu.

View attachment 2438715
Kumbe tatizo ni rangi na dini ndio wame onekana sio waafrika, tukirudi nyuma ki historia Gaddafi alikua ana vaa beige ya Africa sijui alikua mjerumani?
 
Jamani ameomba msamaha kwenye account yake ya Instagram
 
jinga sana ili chezaji hakukuwa na sababu ya yeye kuongea maneno yale wakina al haji diof wakiwa wanawatoa France mbona awakusema huu ushindi ni kwa ajili ya wa Africa weusi tu,waislamu na wasenegal ..
Kuna baadhi ya watu waliozaliwa sehemu ni kabila Moja, dini Moja , rangi Moja na kwa kuwa hawajawahi kujichanganya na jamii zingine huamini dini zao, Mila zao ,kabila zao ni Bora na superior kuliko wengine.
Huamini jamii nyingila labda hawatendi mema, hawapatinriziki na Wala mifumo Yao ya Maisha haiwafanyi kuwa watu kamili.
Watu kama hao ndio wale wanaolazimisha kuwasalimia hata jamii zisizofuata Imani hizo kwa salamu zao, ama ukienda mema wanakudhihaki " umefanya kama dini Fulani" au ingekuwa dini Fulani ungependeza sana
 
Nyinyi miafrika myeusi mpira hamjui, kazi yenu ni uchawa na uchura tu.
Kwahiyo sisi waarabu hatuwezi kuwapambanieni nyinyi ngozi ya goti, hilo mukae mkijua.

Kwani si mulikua na vitimu vyenu kwenye michuano hii?
Kwataarifa yenu sisi tunachukua ubingwa, na hatutaki mutushabikie.
KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE
"Kobe nyie"
Nyie machoko tu mbona huyo ashraf hakim mama yake ni mweusi
 
Ni kama tu vile Uturuki inavyoshiriki UEFA na Euro cup.

Uturuki iko Ulaya na waturuki ni wazungu sio waarabu...umeonesha ignorance yako Tu au chuki...

Albania waislam na ni wazungu.na iko ulaya.
Azerbaijan waislam ni wazungu na iko Ulaya... Kosovo waislam wazungu wako Ulaya....sio kila mweupe mwisalam ni mwarabu......Hao wote wazungu wako Ulaya... Chechnya wazungu waislam wako Europe..
 
Katika waarabu wote wa Africa hao wa moroco ndio wanajionaga special sana.

Wamisri, Tunisia, Algeria, Libya, western Sahara Wala hawana hizo stereotypes.
Waarab wote ni sawa. Ni vile hujafatilia tu.
 
Ame tweet tena Boufal

View attachment 2438867

"I apologize for not mentioning the whole african continent yesterday at the interview. Thank you for being there for us, I dedicate this win for you too. We are so proud to represent all our brothers from this continent"​


Nimeangalia world cup mechi zote za Makundi na nyingi 16 round, Wa Africa wote walikuwa pamoja, Mashabiki wengi sawa wa Morocco wameshabikia Senegal na ulikuwa ukiwaona kwenye tv na vyombo mbalimbali, wengine hadi kigoma. Walikuwa wanakicheza.
Jibu la kwanza ni Jibu sahihi. Ama niseme wazo la kwanza linatoka ktk subconscious mind hilo ndilo analowaza mtu na limeujaza moyo wake.
 
Nikweli lakin kuna mataifa ya kiarabu hayataki umoja.
Mimi mkuu namaliza Advance form 6 kuna Scholariship kibao, za kwenda Algeria, Gadafi tunamjua na misimamo yake, Tumeona Mfalme wa Morocco alikuja hapa na misaada yake, je sisi tumewasaidia nini hizo nchi?
 
Uturuki iko Ulaya na waturuki ni wazungu sio waarabu...umeonesha ignorance yako Tu au chuki...

Albania waislam na ni wazungu.na iko ulaya.
Azerbaijan waislam ni wazungu na iko Ulaya... Kosovo waislam wazungu wako Ulaya....sio kila mweupe mwisalam ni mwarabu......Hao wote wazungu wako Ulaya... Chechnya wazungu waislam wako Europe..
Uturuki haipo bara la ulaya. Haya au kama Israel inavyoshiriki uefa na champions ligue.Halafu mimi sijaongelea dini.Ila waislam mna udini jamani. Haya nimekupa mfano wa Israël.
 
Kwani hizo team za Ulaya tunashabikia ni za Africa na hizo dini zao za upagani, uyahudi etc.. tumezifuata? Mpira ni burudani...use your common sense to make sense acha ushabiki maandazi!
 
Uturuki haipo bara la ulaya. Haya au kama Israel inavyoshiriki uefa na champions ligue.Halafu mimi sijaongelea dini.Ila waislam mna udini jamani. Haya nimekupa mfano wa Israël.
Uturuki kama Urusi ipo kote kote Ulaya na Asia.

Political-map-of-Turkey-and-location-of-Istanbul-10.jpg


Ukiangalia hapo Georgia, Armenia, Azerbaijan zote zipo Ulaya na zinapakana na Iran ila zipo mbali na Ulaya kuliko Uturuki.

Pia Ugiriki na Bulgaria kwa upande mwengine zimepakana na Ulaya.
 
Uturuki haipo bara la ulaya. Haya au kama Israel inavyoshiriki uefa na champions ligue.Halafu mimi sijaongelea dini.Ila waislam mna udini jamani. Haya nimekupa mfano wa Israël.
Uturuki ipo Ulaya...usibishe bila kufanya tafiti...Urusi na Uturuki zote zipo Ulaya na Asia Kwa pamoja.... geographically....
Nyani haoni..?
 
Back
Top Bottom