Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Kuna wanawake ambao wako financially free na wanatongozwa kama Jua linavyowaka Kwa uaminifu

Kuna ambao wako financially free na hawatongozwi

Don't blame it on money au financial freedom son
 
ILE 50/50 MLIYOITAKA NDOO HII MPALANGANE NAYO SASA, NA MSIJE MKATINGISHIKA SINDANO ITAKATIKIA KWENYE TAKO MTULIE HIVYO HIVYO DAWA IINGIE.
Na imewafanya wanaume muonekane ma mama
Yani NI mama wanaume mmeibiwa nyota na akina mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…