Uchaguzi 2020 Somanga: Mkutano wa Tundu Lissu wapigwa mabomu ili kutawanya watu

We jamaa una ujinga mwingi sana.police wameenda kujichekesha Kwa lisu.sababu wanajua walilolifanya ni kosa. Ndiyo maana unabaki kusema watu wamekimbia.lakini usemi sababu ya kupigwa watu mabomu. Usingekuwa zezeta ungelaumu polisi KUUMIZA watu bila sababu
 
Mteule wa Mungu huyo na huku ni kuongezea watu hasira.

Kitachofuata ni maigizo ya Polichi na NEKI kutupiana lawama wakati lao moja.
Kuna Bwana amekacha kufanya kampeni mikoa ya Kusini, sasa Bwana huyo anaona mwenzie akienda huko na yeye haendi basi atachukua kura.
 
Tupo kwenye utawala wa kipumbavu sana

Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.

Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....
Ndio Unavyo Jidanganya Anza ukione
Unajificha na ID Fake kuropoka Upumbavu
 
Samia aliposimama Kinambeu alikuwa na ratiba ya kusimama pale..
Usifananishe na Samia ndio maana waliompiga TAL hawajapatikana ila waliomuua yule kiongozi wa vijana Njombe wamepatikana tena kwa kubambikizwa kesi.

Rai yangu Lissu asijii gize na mutafaruku na Vyombo vya usalama kwa usalama wa wapiga kura wake
 
Tupo kwenye utawala wa kipumbavu sana

Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.

Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....
Utachoma kwa blue tooth ukiwa nyuma ya keyboard sio?
 
We ni k tu ukiwa kiongoz bora hutakiwi kupaniki ovyo msenjee wew ulitaka asicheke anune apate presha kam jiwe
 
Ila polisi wetu hawana weledi kweli,!! ,mnapiga wananchi kweli!!
 
Mteule wa Mungu huyo na huku ni kuongezea watu hasira.

Kitachofuata ni maigizo ya Polichi na NEKI kutupiana lawama wakati lao moja.
Ila huyu mzee ajitafakari wakati anapokea inchi alikuta mambo hayo huyu jamaa inawezekana anataka kuchukua muda mrefu madarakani
 
Kuna vitu vingine ni ujinga tu, hao wamepigwa mabomu hakuna reaction yoyote, wagombea wamekatwa hakuna reaction yoyote, mawakala hawajaapishwa hakuna reaction yoyote, mgombea uraisi kafungiwa hakuna reaction yoyote. Leo uje useme mnasubiri tarehe 28? Nyie ni wajinga mliopitiliza na mliojificha nyuma ya keyboard
Tupo kwenye utawala wa kipumbavu sana

Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.

Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....
 
Usifananishe na Samia ndio maana waliompiga TAL hawajapatikana ila waliomuua yule kiongozi wa vijana Njombe wamepatikana tena kwa kubambikizwa kesi.

Rai yangu Lissu asijii gize na mutafaruku na Vyombo vya usalama kwa usalama wa wapiga kura wake
HAPO NDO PENYE TATIZO... Na kwa bahati mbaya wengine mnaona hilo ni sawa
 
Tupo kwenye utawala wa kipumbavu sana

Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.

Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....
πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜·
 
Umetumwa wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…