We jamaa una ujinga mwingi sana.police wameenda kujichekesha Kwa lisu.sababu wanajua walilolifanya ni kosa. Ndiyo maana unabaki kusema watu wamekimbia.lakini usemi sababu ya kupigwa watu mabomu. Usingekuwa zezeta ungelaumu polisi KUUMIZA watu bila sababu