Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Iko hivi kila ukilala tafuna kipande cha kitunguu saumu halafu lala na kipande cha ndimu...vinaweza kufunuka vingi vilivyofunikwa kitambo...yaani ni sawa na kuamshwa kwenye usingizi mzito...jus give it a try
I ll give it a try
 
Dawa za mitishamba kutibu za kutibu mapungufu ya nguvu za kiume bei sh 20000...nitafute kupitia 0744069527
 
Iko hivi kila ukilala tafuna kipande cha kitunguu saumu halafu lala na kipande cha ndimu...vinaweza kufunuka vingi vilivyofunikwa kitambo...yaani ni sawa na kuamshwa kwenye usingizi mzito...jus give it a try
Unamaanisha kulala nacho kivipi?
 
Iko hivi kila ukilala tafuna kipande cha kitunguu saumu halafu lala na kipande cha ndimu...vinaweza kufunuka vingi vilivyofunikwa kitambo...yaani ni sawa na kuamshwa kwenye usingizi mzito...jus give it a try
kipande cha ndimu unalala nacho vipi mkui
 
Mkuu,unaweza kunisaidia hizo ili hata nikiwa barabarani gari ikiharibika niliweke begani na kuondoka nalo??..hizo dawa zinaweza kunifanya kama Samson??
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Ukivimeza vizima vizima bila kukatakata ni tatizo
 
hivi mshana utakuja kufa kweli?maana kila kitu unakijua,hongera sana bro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…