Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

SOMO LA MALI KWA WANANDOA KWA KILICHOTOKEA KWA ACHRAF HAKIMI NA MKEWE.

Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.

Mke wa ACHRAF HAKIMI ameshindwa kupewa mali yoyote baada ya ndoa yao kuvunjika kwasababu Hakimi aliziandika mali
Tumekuwa tukisikia kuwa kwasheria za nchi yetu baada ya ndoa kuvunjika mgao wa machumo ya ndoa ni pasu kwa pasu yaani 50/50,, naomba ufafanue zaidi kuhusu hili

Na je kama wanandoa wameamua kuwaandikisha watoto,, vpi kuhusu watoto wa nje ya ndoa, watahusika kwenye mgao wa mali kwa watoto?

Nawasilisha
 
Sasa ukikataa ndoa,maana yake uzini ovyo !Sio poa ni upumbavu huo wa Kataa ndoa!inaonyesha ulilelewa ama baba,mama peke yake!
Shoga yoyote msagaji mzinifu basha watu hawa hawataki kusikia habari ya ndoa
 
  • Wakili, umezungumzia Kuhusu kuandikisha Mali Kwa majina ya wengine eg Mama Ake Hakimi, na kusema kuwa Hana Mali yoyote (Hakimi), hiyo mahakama iliyoamua Hilo shauri ilitakiwa ijiulize inawezekana vipi mtu mwenye kipato Cha zaidi ya Bilioni 2 asiwe na Mali yoyote? Tuseme alikuwa anatumia zote? Mahakama ilitakiwa ijiulize Mama Hakimi ameweza vipi kumiliki ukwasi wa kutisha i.e hizo Mali kama Nyumba? , Mama Hakimi analipwa Bilioni ngapi , Hadi aweze kumiliki hizo Mali?, Mahakama ilitakiwa itoe amri kwa Hakimi atoe matunzo Kwa mke wake
  • Hapo Hakimi ametumia false pretense.
Aligundua mapema kuwa ni mwizi
 
  • Wakili, umezungumzia Kuhusu kuandikisha Mali Kwa majina ya wengine eg Mama Ake Hakimi, na kusema kuwa Hana Mali yoyote (Hakimi), hiyo mahakama iliyoamua Hilo shauri ilitakiwa ijiulize inawezekana vipi mtu mwenye kipato Cha zaidi ya Bilioni 2 asiwe na Mali yoyote? Tuseme alikuwa anatumia zote? Mahakama ilitakiwa ijiulize Mama Hakimi ameweza vipi kumiliki ukwasi wa kutisha i.e hizo Mali kama Nyumba? , Mama Hakimi analipwa Bilioni ngapi , Hadi aweze kumiliki hizo Mali?, Mahakama ilitakiwa itoe amri kwa Hakimi atoe matunzo Kwa mke wake
  • Hapo Hakimi ametumia false pretense.
Hilo la matunzo hawezi kukwepa, alichokwepa ni Bien kuondoka na mali na matunzo juu
 
  • Wakili, umezungumzia Kuhusu kuandikisha Mali Kwa majina ya wengine eg Mama Ake Hakimi, na kusema kuwa Hana Mali yoyote (Hakimi), hiyo mahakama iliyoamua Hilo shauri ilitakiwa ijiulize inawezekana vipi mtu mwenye kipato Cha zaidi ya Bilioni 2 asiwe na Mali yoyote? Tuseme alikuwa anatumia zote? Mahakama ilitakiwa ijiulize Mama Hakimi ameweza vipi kumiliki ukwasi wa kutisha i.e hizo Mali kama Nyumba? , Mama Hakimi analipwa Bilioni ngapi , Hadi aweze kumiliki hizo Mali?, Mahakama ilitakiwa itoe amri kwa Hakimi atoe matunzo Kwa mke wake
  • Hapo Hakimi ametumia false pretense.
Hakuna kifungu chochote cha sheria kinacho mpangia mtu atumieje kipato chake anacho kipata, mahakama inacho hitaji ni nyaraka tu na sio maelezo.

Kuhusu matunzo anaye takiwa kutunzwa ni watoto na sio mke
 
Hakuna kifungu chochote cha sheria kinacho mpangia mtu atumieje kipato chake anacho kipata, mahakama inacho hitaji ni nyaraka tu na sio maelezo.

Kuhusu matunzo anaye takiwa kutunzwa ni watoto na sio mke
Kwa Sheria za Tanzania, ni jukumu la mwanaume kumtunza mke wake hicho kifungu kipo kwenye Sheria ya Ndoa,
Na pia kipo kifungu Cha sheria kinachosema mume anaweza kumtunza mke na watoto walioachana.
 
Naanza kurkewa kwa nini wazungu hawazingatii nfoa au wanaoana kimkataba.
UKiwa na pesa mwanamke anakupangia mikakati ya kukupora xote au akuachie kidogo.
Kuna msafa mmoja aliwahi niambia usimuoneshe masha,nyumba zote mkeo. Kumbe kuepuka haya.
 
Sasa ukikataa ndoa,maana yake uzini ovyo !Sio poa ni upumbavu huo wa Kataa ndoa!inaonyesha ulilelewa ama baba,mama peke yake!
Kuna watu waasherati kama wanandoa??? Haujawahi kumcheat shemeji? Au mara moja moja haina shida sana jamaa.
 
  • Wakili, umezungumzia Kuhusu kuandikisha Mali Kwa majina ya wengine eg Mama Ake Hakimi, na kusema kuwa Hana Mali yoyote (Hakimi), hiyo mahakama iliyoamua Hilo shauri ilitakiwa ijiulize inawezekana vipi mtu mwenye kipato Cha zaidi ya Bilioni 2 asiwe na Mali yoyote? Tuseme alikuwa anatumia zote? Mahakama ilitakiwa ijiulize Mama Hakimi ameweza vipi kumiliki ukwasi wa kutisha i.e hizo Mali kama Nyumba? , Mama Hakimi analipwa Bilioni ngapi , Hadi aweze kumiliki hizo Mali?, Mahakama ilitakiwa itoe amri kwa Hakimi atoe matunzo Kwa mke wake
  • Hapo Hakimi ametumia false pretense.
Kwanini mke apewe matunzo wakati ndoa imeshafika mwisho na tena hawana watoto.
 
Kwa Sheria za Tanzania, ni jukumu la mwanaume kumtunza mke wake hicho kifungu kipo kwenye Sheria ya Ndoa,
Na pia kipo kifungu Cha sheria kinachosema mume anaweza kumtunza mke na watoto walioachana.
Kutunza mwanamke mlio achana ni kwamba anakuwa anapitia kwenye mgongo wa matunzo ya watoto.

Lakini iwapo mtaacha na asibaki na watoto basi huna jukumu lolote la kumtunza.
 
Kutunza mwanamke mlio achana ni kwamba anakuwa anapitia kwenye mgongo wa matunzo ya watoto.

Lakini iwapo mtaacha na asibaki na watoto basi huna jukumu lolote la kumtunza.
  • Sasa kama hujui Kuna mazingira ambayo mahakama inaweza ikatoa amri ya matunzo kipindi Cha Kesi ya ndoa,hadi baada ya kuvunjika ndoa i.e talaka,
  • hivi unajua Kuna mazingira ambayo pia Mwanamke anaweza kumtunza mme wake?
 
Back
Top Bottom