Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe

Kam Sera yako ni Hakimi Kucheat sasa Naludisha Swali kwako, una uhakka Mke wa Hakimi alkuwa Hacheat ?

Suala la Pili Hawa wanawake wa sasaivi ukijifanya Mkweli sana kwny mambo yako utaumia.

Nadhan Kam Hakimi asingekuwa ametumia akili kubwa kam aliyotumia ,..... Leo hii yamkini Post yako ingekuwa ni Kuwalaumu Wanawake na Kuwashauri vijana kuchagua mwanamke Sahihi.

Ila kwasababu karata imegeuka leo mnaona Hakimi kakosea sana, inshort Bro naona saiv Upo kweny Penzi zito sana maan nyuzi zako kadhaa za nyuma sku hzi unawatukuza sana Wanawake ila hivi viumbe Hiyo Formula ya Hakimi ndo Inapaswa iwe Njia ya kujilinda na Ushetani wao. HONGERA HAKIMI

UZI TAYARI
 
Mi nadhan umeandika porojo la kutosha:;
Hivi wewe ni dini gani mpaka umpende mkeo zaidi kuliko mama yako aliyekuzaa?

Sisi waislam dini yetu imetuusia tumpende mama mara 3 zaidi ya baba mara 1, uyo mke ata hakutajwa kabisa katika hiyo khadithi

Kama Hakimi alikuwa mtu mbaya katika hili sakata ni kwa nini mwanamke baada ya kudai talaka alifungua kesi Mahkaman kudai kugawana mali? Kwa nini kwa wema wake alionao baada ya kwisha kudai talaka hakusubiri uungwana kutoka kwa Hakimi ambaye amemzalia watoto?

Ndio, kwa sababu ugavi wa mali ni issue nyengine na talaka ni kitu chengine

Kwa msingi huu ni wazi huyu mwanamke She went for it., lengo lake na tamaa zake ata sikuachwa lakini ni mali na utajiri wa Hakimi ambao ni wazi ulikuwa unamdedemkia mate,

Wanawake kama hawa hata bongo wapo tele kila siki tunasikia wamewaua waumw zao wapate mali, izo kesi zipo tele hazina idadi.,

Lazima uelewe wanawake ni maumbile yao kutaka mali na utajiri wakat hawapendi kujituma, they are after their husband, they demand alot, sio Africa tu ni kote ulimwenguni
 
Ww jamaa mbona siku hizi una andika chenga.
Yaani nimpende mke ambaye tumekutana ukubwani na ambaye kesho ataniacha na kwenda kwa mwanaume mwingine kuliko mama yangu aliye nizaa ,kunishomesha na kunipa maarifa?

Mke na mama kila mtu atapedwa kwa nafasi yake lakini mama ana nafasi zaidi ya mara kumi mbele mke wangu.

Katika ulimwengu huu hakuna kitu chenye thamani kama mama na baba yako chochote utakacho kifanya hilo unatakiwa kulitambua.
Wazazi wana thamani kuliko hata watoto wako.
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Kila mtu kasema lake, wapo waliomsifu na wapo waliomponda. Mimi nitajadili Jambo hili Kwa uchache katika mizania ya Haki, ukweli na upendo. Kama mnavyojua mambo hayo Matatu ndio ninayoyapigia debe. Hiyo ndio dini ya Watibeli.

Kwa taarifa za kesi nilivyoisikia mpaka sasa nadiriki kusema HAKIMI hakutenda HAKI. Kwa sababu zifuatazo;

1. Hakimi hakuwa mwaminifu.
Hakimi hakuwa mwaminifu katika ndoa yake katika maeneo yafuatayo;
a) Mapenzi, HAKIMI anatuhuma za kum-cheat Mkewe achilia mbali hiyo kesi ya ubakaji inayomkabili.

b) Fedha na Mali,
HAKIMI hakuwa mwaminifu katika suala la fedha na Mali katika ndoa. Kukosa uaminifu, kutokuwa mkweli kunamfanya Hakimi asiwe mwenye Haki.

2. Hakimi hakumpenda mkewe.
HAKIMI anampenda Mama yake kuliko Mkewe. Hii katika mahusiano ya ndoa sio Haki kwa Mke au Mume. Kwenye ndoa au familia ni Haki ya Mke au Mume kupendwa na Mwenza wake kuliko MTU yeyote Yule.

Haiwezekani 80% umuingizie Mama yako Wakati umeoa na unampenda Mkeo au Mumeo. Upendo wa Hakimi kwa Mama yake ni mkubwa maradufu kuliko alivyompenda Mkewe. Hiyo sio Haki.

3. Hakimi alikusudia kumtapeli Mkewe. Hakuwa anampenda.
Ndio maana aliweza kum-cheat na kumsaliti kimapenzi na muda huohuo akawa anamficha masuala ya Mapato yake. Huo ni Utapeli, na hii ni Kutokana alikuwa hampendi.

Mambo ya muhimu;
1. Kama HAKIMI angekuwa mwenye Haki angekuambia Binti wa watu tangu mwanzo kuwa Kipato changu kitakuwa kinamilikiwa Kwa sehemu kubwa na Mama. Ili binti mwenyewe aamue. Hii ni pamoja na Mali zitakazonunuliwa Kutokana na kipato chake. Kama wanavyofanya Watu wengine wenye Haki.

2. Yule Mwanamke hakuomba Talaka Kwa lengo la Kutaka Mali za Hakimi, isipokuwa ni Makosa ya Hakimi ya kutokuwa mwaminifu Kwa kumsaliti ndio kumemfanya aombe Talaka. Kwa watu waaminifu na wenye Haki Usaliti ni kosa lisilosameheka.

3. Ni kweli Mshahara wa mtu anaweza kuutumia vile atakavyo ilimradi anatekeleza majukumu ya kifamilia vizuri.
Hivyo Hakimi anaweza kuwa na Haki ya kutumia Mshahara wake atakavyo. Tatizo linakuja Kuwa matumizi ya Pesa au kipato yatatafsiri moyo wa mtu ulipo. Wanasema hazina ya mtu ilipo ndipo moyo wake ulipo.

Hakuna Mwanamke ambaye atajiona anapendwa ilhali zaidi ya 80% ya kipato cha mume wake kinatumika nje ya matumizi ya Nyumbani.

Jambo moja la kuweka Akilini hapa ni kuwa, Wanawake Hawana sababu ya kuogopa Michezo ya namna Hii Kwa sababu nao ni kina Mama wamezaa, hivyo Kile wanachokifanya wanaume ndicho watakachokifanya Watoto wao.

Hii ni kusema, ikiwa kuna mwanaume atamuiga Hakimi kuwekeza Kwa Mamaye, vivyohivyo watoto wako uliowazaa watawekeza kwa mkeo (Mama Yao) uliyemkatili. Hivyo Ngoma inakuwa droo!

Kwenye upendo kuna ukweli na Haki. Kwenye upendo mambo ya Pesa na Mali hayawezi kuwa kitu kikubwa.

Alichofanya HAKIMI ni uhuni, hasa kama ni kweli amem-cheat Mkewe mpaka akaomba Talaka. Ni uhuni ambao Watibeli hatuuungi Mkono. Na inaonekana Amekataa hata kuomba Msamaha.

Ieleweke kuwa ku-cheat Kwa wengine ni kosa lisilosameheka. Na hakuna mwenye uhalali WA ku-cheat iwe mwanaume au Mwanamke.

Wewe kama unajijua huwezi kuwa mwaminifu ni Bora usioe au kuolewa. Kwani unachoenda kufanya ni utapeli, uhuni na dhulma

Nipumzike sasa.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es salaam.
Andiko lako ni batili lote kwa kesi ya Emanuel ebou na sakata la bill gate yaani mpaka wanaume kweli wanaona hakimi kamuonea binti kwani kumpenda mama kuliko mke kuna shida gani,
Je unaijua historia ya hakimi na mama yake mpaka kaamua kufanya hivyo.

Wanaume tunasafari ndefu sana ndio maana tunakufa mapema.
 
Ww jamaa mbona siku hizi una andika chenga.
Yaani nimpende mke ambaye tumekutana ukubwani na ambaye kesho ataniacha na kwenda kwa mwanaume mwingine kuliko mama yangu aliye nizaa ,kunishomesha na kunipa maarifa?

Mke na mama kila mtu atapedwa kwa nafasi yake lakini mama ana nafasi zaidi ya mara kumi mbele mke wangu.

Katika ulimwengu huu hakuna kitu chenye thamani kama mama na baba yako chochote utakacho kifanya hilo unatakiwa kulitambua.
Wazazi wana thamani kuliko hata watoto wako.
Mdau leo kazingua sana hili andiko halina uhalisia wowote.
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Kila mtu kasema lake, wapo waliomsifu na wapo waliomponda. Mimi nitajadili Jambo hili Kwa uchache katika mizania ya Haki, ukweli na upendo. Kama mnavyojua mambo hayo Matatu ndio ninayoyapigia debe. Hiyo ndio dini ya Watibeli.

Kwa taarifa za kesi nilivyoisikia mpaka sasa nadiriki kusema HAKIMI hakutenda HAKI. Kwa sababu zifuatazo;

1. Hakimi hakuwa mwaminifu.
Hakimi hakuwa mwaminifu katika ndoa yake katika maeneo yafuatayo;
a) Mapenzi, HAKIMI anatuhuma za kum-cheat Mkewe achilia mbali hiyo kesi ya ubakaji inayomkabili.

b) Fedha na Mali,
HAKIMI hakuwa mwaminifu katika suala la fedha na Mali katika ndoa. Kukosa uaminifu, kutokuwa mkweli kunamfanya Hakimi asiwe mwenye Haki.

2. Hakimi hakumpenda mkewe.
HAKIMI anampenda Mama yake kuliko Mkewe. Hii katika mahusiano ya ndoa sio Haki kwa Mke au Mume. Kwenye ndoa au familia ni Haki ya Mke au Mume kupendwa na Mwenza wake kuliko MTU yeyote Yule.

Haiwezekani 80% umuingizie Mama yako Wakati umeoa na unampenda Mkeo au Mumeo. Upendo wa Hakimi kwa Mama yake ni mkubwa maradufu kuliko alivyompenda Mkewe. Hiyo sio Haki.

3. Hakimi alikusudia kumtapeli Mkewe. Hakuwa anampenda.
Ndio maana aliweza kum-cheat na kumsaliti kimapenzi na muda huohuo akawa anamficha masuala ya Mapato yake. Huo ni Utapeli, na hii ni Kutokana alikuwa hampendi.

Mambo ya muhimu;
1. Kama HAKIMI angekuwa mwenye Haki angekuambia Binti wa watu tangu mwanzo kuwa Kipato changu kitakuwa kinamilikiwa Kwa sehemu kubwa na Mama. Ili binti mwenyewe aamue. Hii ni pamoja na Mali zitakazonunuliwa Kutokana na kipato chake. Kama wanavyofanya Watu wengine wenye Haki.

2. Yule Mwanamke hakuomba Talaka Kwa lengo la Kutaka Mali za Hakimi, isipokuwa ni Makosa ya Hakimi ya kutokuwa mwaminifu Kwa kumsaliti ndio kumemfanya aombe Talaka. Kwa watu waaminifu na wenye Haki Usaliti ni kosa lisilosameheka.

3. Ni kweli Mshahara wa mtu anaweza kuutumia vile atakavyo ilimradi anatekeleza majukumu ya kifamilia vizuri.
Hivyo Hakimi anaweza kuwa na Haki ya kutumia Mshahara wake atakavyo. Tatizo linakuja Kuwa matumizi ya Pesa au kipato yatatafsiri moyo wa mtu ulipo. Wanasema hazina ya mtu ilipo ndipo moyo wake ulipo.

Hakuna Mwanamke ambaye atajiona anapendwa ilhali zaidi ya 80% ya kipato cha mume wake kinatumika nje ya matumizi ya Nyumbani.

Jambo moja la kuweka Akilini hapa ni kuwa, Wanawake Hawana sababu ya kuogopa Michezo ya namna Hii Kwa sababu nao ni kina Mama wamezaa, hivyo Kile wanachokifanya wanaume ndicho watakachokifanya Watoto wao.

Hii ni kusema, ikiwa kuna mwanaume atamuiga Hakimi kuwekeza Kwa Mamaye, vivyohivyo watoto wako uliowazaa watawekeza kwa mkeo (Mama Yao) uliyemkatili. Hivyo Ngoma inakuwa droo!

Kwenye upendo kuna ukweli na Haki. Kwenye upendo mambo ya Pesa na Mali hayawezi kuwa kitu kikubwa.

Alichofanya HAKIMI ni uhuni, hasa kama ni kweli amem-cheat Mkewe mpaka akaomba Talaka. Ni uhuni ambao Watibeli hatuuungi Mkono. Na inaonekana Amekataa hata kuomba Msamaha.

Ieleweke kuwa ku-cheat Kwa wengine ni kosa lisilosameheka. Na hakuna mwenye uhalali WA ku-cheat iwe mwanaume au Mwanamke.

Wewe kama unajijua huwezi kuwa mwaminifu ni Bora usioe au kuolewa. Kwani unachoenda kufanya ni utapeli, uhuni na dhulma

Nipumzike sasa.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es salaam.
Unaweza ukawa sawa kiasi ila si sahihi mnoo.Halafu,huyo muomba talaka si binti kwa umri wake.Ni vema ukamtambulisha vema.
 
Andiko lako ni batili lote kwa kesi ya Emanuel ebou na sakata la bill gate yaani mpaka wanaume kweli wanaona hakimi kamuonea binti kwani kumpenda mama kuliko mke kuna shida gani,
Je unaijua historia ya hakimi na mama yake mpaka kaamua kufanya hivyo.

Wanaume tunasafari ndefu sana ndio maana tunakufa mapema.

Kitendo cha Mwenza kutompenda MKE au Mume wake huo tayari ni Utapeli.
Kama kuna mtu unampenda kuliko Mkeo ya Mumeo basi jua unatenda isivyohaki na ndoa haikuhusu.

Ndio maana wadau WA kataa ndoa wanahoja kwani ndoa zenye fikra za namna hiyo ni Utapeli, dhulma na upigaji.

Hata MKE Kam hampendi mumewe, au kuna MTU anampenda kuliko mumewe basi huyo NI tapeli na ndoa haimfai.
 
Aache sifa za kutaka kugawana mali za Mwanamke, anaweza pigwa na kitu cha ncha kali ndio ikawa kwaheri.
 
"Mwanangu hakuniambia kuhusu uhamisho wa pesa" - Mama wa Hakimi afichua

Kujibu uvumi kwamba utajiri wa mwanawe umehamishiwa kwenye jina lake, mama wa Achraf Hakimi, Saida Mouh, amesema hakuwa na habari ya uhamisho kama huo lakini amesisitiza kwamba ikiwa mwanawe hajafanya hivyo, hataweza kuachana na Hiba Abouk.

Mouh aliiambia vyombo vya habari vya Morocco kwamba Hakimi hakuwa amemweleza chochote kuhusu hali hiyo, na kwamba "ikiwa amechukua hatua yoyote ya kujilinda, sina habari nayo."

Mama wa Hakimi aliendelea kusema, "Kuna tatizo gani ikiwa habari ni kweli? Ikiwa mwanangu hafanyi hivyo, hataweza kuachana na mwanamke huyo [Hiba Abouk]."

Kulingana na ripoti za hivi karibuni, Abouk hatapata chochote kutoka kwa utajiri na mali ya Hakimi kwa sababu kila kitu kimeripotiwa kwenye jina la mama wa mchezaji huyo wa soka kutoka Morocco.

Makala ya habari ya Kihispania Marca iliripoti siku ya Ijumaa, Aprili 14 kwamba Abouk alikuwa akihitaji nusu ya mali na utajiri wa Hakimi lakini aligundua kwamba hana kitu chochote kwa jina lake.

Kulingana na chanzo hicho hicho, mama wa Hakimi amekuwa akipokea mshahara wake kwenye akaunti yake ya benki kwa muda fulani, na yeye ndiye mnufaika pekee wa mapato na utajiri wake.

Haki ya kucheza kimataifa wa Morocco na beki wa kulia wa PSG pamoja na mwigizaji wa Kihispania-Tunisia Hiba Abouk walitalikiana mwezi uliopita.

Hakimi ni mmoja wa wachezaji ghali zaidi barani Afrika na anachukuliwa kama mmoja wa mabeki bora wa kulia duniani. Mnamo mwaka 2022, Kituo cha Kimataifa cha Masomo ya Michezo (CIES) kilimtaja mchezaji huyo kutoka Morocco kwenye orodha yake ya wachezaji 100 ghali zaidi kwa thamani yake ya uhamisho iliyokadiriwa.

Data iliyochapishwa mnamo 2022 na tovuti ya habari za soka ya GiveMeSport ilionyesha kwamba beki wa kulia wa PSG ni mchezaji wa soka wa Afrika anayelipwa vizuri zaidi wa sita, akipata zaidi ya dola za Marekani 215,000 kwa wiki.
 
Duuh! Naona bado sakata linaendelea.

Kwa hali hii tutayasikia mengi kuliko tulivyotarajia.
 
Back
Top Bottom