Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

PGO hata Mimi inanichanganya sijui hata hao police wataweza kuilewa!
 
Hii adhabu ni kubwa sana , ni Bora wasingelipa mshahara hata mwaka mzima, huku wakiendelea na majukumu yao
 
Hii adhabu ni kubwa sana , ni Bora wasingelipa mshahara hata mwaka mzima, huku wakiendelea na majukumu yao
Hujui kwa askari kuvuka mpaka ukiwa umevaa uniform na silaha juu bila taarifa yoyote inatafsiriwa kama uvamizi kwenye nchi ya watu?hiyo adhabu ni stahiki kwao kabisa.
 
Hujui kwa askari kuvuka mpaka ukiwa umevaa uniform na silaha juu bila taarifa yoyote inatafsiriwa kama uvamizi kwenye nchi ya watu?hiyo adhabu ni stahiki kwao kabisa.
[emoji3166][emoji3166][emoji3166] tungewasamehe sababu ni policcm
 
Ni kutelekeza na wala si kutekeleza... halafu mbona mnatuchanganya mara kule wanatuambia AK47 huku wewe watuambia SMG, which is which?
 
Hiyo GPO ndi and kitu gani boss
 
Tatizo la Askari wengi wa Tanzania ni njaa.
Njaa hadi inawatoa utu wao.

Yohana Mbatizaji alionya hili zamani sana ila hawa wenzetu hawasikii kabisa.

Luka 3:14
Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.
 
Nahitaji mlinzi nafasi wazi tuma maombi vigezo na mashariti kuzingatiwa
 
Neno "FUKUZWA KAZI" ni mara chache sana nimelisikia(tena sikumbuki mara ya mwisho ni lini na ilikuwaje?) Mara nyingi tunasikia "SIMAMISHWA KAZI" Ambapo tafsiri yake yawezekana baadae aliyefukuzwa akarudi kazini...

Lakini awamu hii hawakutaka kulembe,
 
Mwenda zake ndo chanzo cha haya aliwapa nguvu sana sasa vichwa vilivimba wameamua waingie malawi kusaka hela za kiwi kama ulivyo sema mwendazake
 
PGO hawasomi iwaelekeze namna ya kuvuka mipaka ya Nchi.....Polisi pia mjulize kwanini mkipata shida Wananchi wengi hawasikitiki??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…