ShimoHii ni tetesi till habari rasmi itakapotangazwa na credible source!
Na kama ni hivyo....
CCM watakuwa wameingia choo cha kike,sababu huyo Sophia mjema alikwisha prove failure kwenye teuzi ile ya kwanza.
Hawezi kuendana na kasi inayokuka ya siasa za majukwaani kwenye uhuru wa vyama vyote.
Labda Samia anataka taifa hili liwe la "KE" territory na inayoenda kuangukia Pua.
nadhani huyo siyo mwana historia Mohamed Said kwa vile yeye ni mtu wa TaboraHongera Sana Mohamed Said kwa teuzi.
Naangalia udhaifu ili niwatandike Spana , si umeona mikutano ya hadhara ?Upo busy na yq ccm
Why kuolewa kwani shaka ni KE ?Shaka muda wake umefikia akaolewe Sasa huko Mombasa[emoji3061]
Mkuu humjui yule tapeli! Ni hii style ya machawa tuu na elimu hana hivyo siasa zake za kizamani sanaYeah Bulembo yupo vizuri. Kwenye hoja
Na hata kwa umri wake sidhani kama anaweza kukubali teuzi za sina hiinadhani huyo siyo mwana historia Mohamed Said kwa vile yeye ni mtu wa Tabora
Naongelea katibu mwenezi kwa mfano tu.Katibu mkuu ccm kazi yake kuhubiri jukwaani!?...teuzi ni wingi umoja wake ni uteuzi,hongera kwa kujua ccm wanahitaji nini kuliko ccm wenyewe
Utafikiri ana digree ya kusifia.Hotuba nzima imejaa RaisNaona wameruhusu mikutano ya siasa wanabadilisha na Katibu Mwenezi, wameona watafute mtu wa kuendana na kasi ya upinzani, waachane na mentality za kichawa..
Shaka alikuwa "mweupe" sana.
Furaha James? Ni furaha Dominic, hata hivyo hakumpa cheo chochote zaidi alimtema kwenye ubunge.Lkn naye akaishia kuwapa vyeo watoto wa dada yake tu.
Dotto James
Furaha James
Heri James
Shaka??Ccm Huwa wanashangaza sana au pengine Kwa kuwa wanajua wataiba kura au?
Unawezaje kuwatoa watu wenye ushawishi na wanaojua kujenga hoja kama kina Shaka na Bulembo ukawela hao wengine wasiojua kujieleza?
Sipati picha, atawachana mpaka basi, mawaziri wakae chonjo siri zao zitaanza kuvuja mmoja baada ya mwingine.Duuh pole yao...hawawezi kujibu hoja za Lissu hawa
Kwan huko ccm kuna lipi jipya? Zaidi zaidi utasema sgr, bwawa, na zahanati.Kwani chadema mnalipi jipyaa? Zaidi ya yule jamaa yenu kuja kutuhubia ushuhuda wa mambo yake??
OhooooLile bomba la kiggymbony vs oil
Aliibua
dc nn vile??
Iliishaje
Niliona Disco Joker form four failure Mbowe alilewa sana kule Dodoma kama kawaida yake safari hii akiwa na mchepuko wake Joyce wakapigana na kuumizana mara akatangaza kapigwa na majambazi na mara akaanza ugaidi akalazwa jela miezi kibao huko akili ikamkaa sawa akaingia baridi na baadae wakamtoa na kumlambisha asali Sasa Mbowe amebaki makapi tu kama muwa uliokamuliwa maji yake Hana jipya na hataki kuachia kiti cha uenyekiti. Anaboa sana! Katengeneza chama Cha wachagga!Huko CCM ni kama wamevurugana baada ya kujua sasa yanayokwenda kutokea ni balaa la gharika ya kisiasa. Walikuwa wanapambana na bondia aliyefungwa miguu sasa kakata kamba hivyo Ata fly like a butterfly and sting like a bee! Ni kipigo tuu. Na kapiteni anatua 25/1
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app