Hangaikeni weeeee, mwisho wa siku ni kwamba tunaomba tu mturudishie tanzania yetu. Mama samia, unapambana sana na una moyo wa huruma na wa pekee sana, lakini truthy to be told, hueleweki unatupeleka wapi! Hueleweki upo upande upi!!!? Wa kulisha genge la kikwete na wenzake? Au wa ccm au wa watanganyika!!!? Au wazanzibari!!? Au watanzania!!!?. Mama nchi imeyumba sana hasa katika nyanja ya uchumi. Na hilo ni sababu mama huna meno kabisa kwenye maswala ya uchumi wa taifa letu,,,,,!. Yani serious mkurugenzi wa TRA na waziri wa fedha mpaka leo wapo madarakani mama!!!? Serious??. Yani mpaka leo waziri wa kilimo bashe mpaka dk hii hujampa alert yoyote kwamba he is doing wrong!!, serious?? Mama huna meno, wewe ni kibogoyo.