Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Hii ni tetesi till habari rasmi itakapotangazwa na credible source!

Na kama ni hivyo....

CCM watakuwa wameingia choo cha kike,sababu huyo Sophia mjema alikwisha prove failure kwenye teuzi ile ya kwanza.

Hawezi kuendana na kasi inayokuka ya siasa za majukwaani kwenye uhuru wa vyama vyote.

Labda Samia anataka taifa hili liwe la "KE" territory na inayoenda kuangukia Pua.
Shimo
 
Katibu mkuu ccm kazi yake kuhubiri jukwaani!?...teuzi ni wingi umoja wake ni uteuzi,hongera kwa kujua ccm wanahitaji nini kuliko ccm wenyewe
Naongelea katibu mwenezi kwa mfano tu.
Ingawa hata katibu mkuu ndio Router ya hoja za chama,napo pia oamepwaya!
 
Naona wameruhusu mikutano ya siasa wanabadilisha na Katibu Mwenezi, wameona watafute mtu wa kuendana na kasi ya upinzani, waachane na mentality za kichawa..

Shaka alikuwa "mweupe" sana.
Utafikiri ana digree ya kusifia.Hotuba nzima imejaa Rais
 
Hangaikeni weeeee, mwisho wa siku ni kwamba tunaomba tu mturudishie tanzania yetu. Mama samia, unapambana sana na una moyo wa huruma na wa pekee sana, lakini truthy to be told, hueleweki unatupeleka wapi! Hueleweki upo upande upi!!!? Wa kulisha genge la kikwete na wenzake? Au wa ccm au wa watanganyika!!!? Au wazanzibari!!? Au watanzania!!!?. Mama nchi imeyumba sana hasa katika nyanja ya uchumi. Na hilo ni sababu mama huna meno kabisa kwenye maswala ya uchumi wa taifa letu,,,,,!. Yani serious mkurugenzi wa TRA na waziri wa fedha mpaka leo wapo madarakani mama!!!? Serious??. Yani mpaka leo waziri wa kilimo bashe mpaka dk hii hujampa alert yoyote kwamba he is doing wrong!!, serious?? Mama huna meno, wewe ni kibogoyo.
 
Mungu amlinde na kumpatia hekima ya kufanya kazi yake mpya.wishing you Good luck sophie!
 
Huko CCM ni kama wamevurugana baada ya kujua sasa yanayokwenda kutokea ni balaa la gharika ya kisiasa. Walikuwa wanapambana na bondia aliyefungwa miguu sasa kakata kamba hivyo Ata fly like a butterfly and sting like a bee! Ni kipigo tuu. Na kapiteni anatua 25/1

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Niliona Disco Joker form four failure Mbowe alilewa sana kule Dodoma kama kawaida yake safari hii akiwa na mchepuko wake Joyce wakapigana na kuumizana mara akatangaza kapigwa na majambazi na mara akaanza ugaidi akalazwa jela miezi kibao huko akili ikamkaa sawa akaingia baridi na baadae wakamtoa na kumlambisha asali Sasa Mbowe amebaki makapi tu kama muwa uliokamuliwa maji yake Hana jipya na hataki kuachia kiti cha uenyekiti. Anaboa sana! Katengeneza chama Cha wachagga!

Mara Mnyampaa Lisu akasifiwa sana wakili msomi wanawe raia wa Marekani wanatusaidia na kuandika mabango " kwa hisani ya watu wa Marekani" poor kapiteni akavimba kichwa sifa kibao zikaanza akatamalaki na kujaa kibri akimkashifu Mkuu wa nchi majukwaani bila kujua kuwa alikuwa akifanya treason mara karma ikampitia akapewa adhabu Kali na kusalia akiwa cripple asiejitambua! Huyu moyoni amejaa uoga wa kuaga Dunia kwa kufyatuliwa na usalama maana mission was not accomplished , huyu hafai Tena kufanya siasa maana amejaa uoga moyoni na tayari ni mlemavu hatembei yafaa afanye kazi ya kuuza duka kule Singapore (Singida) au kukamua mafuta ya alizeti au kuuza kuku.

Kwasasa Hali ni shwari kabisa upinzani umekwisha Makali yote jamaa kina Dj Mbowe and Company ni kama wamekuwa mbwa Koko hawaumi ndo maana mikutano ya siasa now ruksa! Hata Lipuumba na mkongomani Zana za Kilimo ZZK hawana jipya Tena kazi ni kusifu tu iwe akili au ujinga wa madeni ya yaliyotukuka!

Yani kwasasa mtu yoyote anaweza kupewa kazi za Sirikali ya kinamama au chama Cha wanawake na akaongoza vizuri tu raia waliolemewa na tozo wakijaa uoga wa gari la washawasha na wasiojitambua! Hali ya maisha kwa wasio Katika chanel ni ngumu mno! Muda wote wanatafuta pesa na hawazipati!!

Tunahitaji kumuomba Bimkubwa katiba mpya kutoka Katika Rasimu ya Warioba , the only important thing for welfare of poor Tanzanians! Wahuni kina Maropu na yule Mnyampaa Magul aliesomea jina la mtu wanatutesa sana maskini kwa tozo na kutukatia umeme, yani wamejaa viburi kama vile wataishi milele! Nawakumbusha Mavumbini panatusubiri sote!

2030 Tutaoneshwa palipovuja na nchi itarudi kiumeni na kosa la mwendazake Kuweka wanawake ofisini halitarudiwa!
 
Back
Top Bottom