Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

New York Post, The Mirror na Dail Maily wameandika pia.
Sun, mirror, daily mail ni gazeti moja majina tofauti, yote ya udaku.

Pia hotdog sio sausage ni vitu viwili tofauti.

Sausage ni chakula cha Asili kwenye jamii za kikorea na China, watu wa zamani walitumia sausage ku preserve nyama isioze.

North Korea Sausage ni street food, ni kama Hapa Tanzania unavyoona mishikaki.

View: https://m.youtube.com/watch?v=xGzSNB5UaC8

Hawezi kuban sausage na wala haimake sense kwake kuban,
 
Watu walikuwa wanaishi maisha marefu sana ya wastani wa miaka mingapi?

Unafahamu cancer na kisukari vilikuwepo hata katika Misri ya kale ya mafarao?
Unafahamu mgiriki Hippocrates aliyieshi miaka 400 kabla ya Yesu alikuwa anazungumzia cancer??
Unafahamu mgiriki Aretaeus karne ya kwanza alikuwa anazungumiza kisukari
Kulikuwepo na processed foods enzi hizo?
Kun mifupa ilipimwa south Afrika ya zamani sana iligundulika baadhi walikufa kwa cancer

Cancer ni ugonjwa wa siku nyingi sana sahivi upo sababu tu ya uwepo vipimo- mfano sahivi kuna watu wana-sukari ili hawajui wanakuja kujua iko dakika za mwisho
 
Mkuu swali dogo.
Ulishawahi kusikia Mhadzabe anaumwa kansa au kisukari?
Au ndo vipimo bado havijafika huko?
Wewe ulishawahi kusikia Wakonongo wanaumwa kansa au kisukari??
 
Kwako ni uongo sbb hujui kitu chochote kuhusu Food industries wala beverage industries, ww ni mlaji tu, hujui anything.
Wewe ni muongo unadanganya watu eti vyakula vya mcdonald haviozi

Tena vyakula vya asili ndo vinachukua mda mrefu kuoza mfano viazi vya asili vinakaa mda mrefu bila kuoza

Nyanya za asili zilikua zinakaa mda mrefu bila kuoza same kwa karoti

Vyakula vya kisasa ndani ya mda mfupi sana vinaanza kuharibika
 
Unawapimaga au ni hisia zako
Wale jamaa ulishawahi ona kuna hospitali karibu na jamii zao?
Ulishawahi kuona wahadzabe wakilalamika hawana hospitali?
Ulishawahi kuona mmasai ndani ya rubega yake akienda hospitalini labda kama ni mlinzi.
Bro vyakula wanavyokula vinafanya wawe resistant kwa magonjwa hasa yale yasiyoambukiza.
 
Sio haviozi tu, vimeekewa hadi addictives ingredients zinazokufanya kama teja la kula vyakula hivyo, which is very dangerous, yaani ukianza kula hivyo vyakula is like unakula addictives za aina fulani za madawa ya kulevya, just like Coke, na unaanza kushindwa kuacha kula hizo Fast Food or Junk food zao, utakula mfululizo sbb of those addictives, na utakuwa teja lao bila ww kujijua na vyakula natural or Organic or close to organic huwezi kula, utaona havina ladha au utaanza kuvikwepa na kula mara moja moja sana.
Junk food ni chakula cha aina gani?
What is junk food?
 
Wale jamaa ulishawahi ona kuna hospitali karibu na jamii zao?
Ulishawahi kuona wahadzabe wakilalamika hawana hospitali?
Ulishawahi kuona mmasai ndani ya rubega yake akienda hospitalini labda kama ni mlinzi.
Bro vyakula wanavyokula vinafanya wawe resistant kwa magonjwa hasa yale yasiyoambukiza.
Wagonjwa wengi wa cancer wanaijua ikiwa stage za mwishoni

Ugonjwa kama cancer mara nyingi ukianza hauwezi jua kama sio mtu wa kupima
 
 
Kwani mtu asipokula soseji anakufa
Kwani akila soseji anakufa?

Halafu nani kampa Kim Kiduku mamlaka ya kupangia watu vyakula vya kula?
 
Wagonjwa wengi wa cancer wanaijua ikiwa stage za mwishoni

Ugonjwa kama cancer mara nyingi ukianza hauwezi jua kama sio mtu wa kupima
Na hiyo cancer inasababishwa na lifestyle ya mtu. Watu wengi wanaoishi mjini wanaumwa kansa kutokana na vyakula wanavyokula na kansa inashambulia wadada wengi wa mjini kutokana masuala ya vipodozi. Mfano wale wanaoweka ngozi zao kwenye mionzi.
 
Wewe ni muongo unadanganya watu eti vyakula vya mcdonald haviozi

Tena vyakula vya asili ndo vinachukua mda mrefu kuoza mfano viazi vya asili vinakaa mda mrefu bila kuoza

Nyanya za asili zilikua zinakaa mda mrefu bila kuoza same kwa karoti

Vyakula vya kisasa ndani ya mda mfupi sana vinaanza kuharibika


Narudia tena, hujui somo la vyakula, you are mixing up yourself kwa Organic, processed foods, and GMOs wala hujui unaongea nini, wewe ni wale type ya watu wabishi wasiweza jifunza, hujui na utabakia hujui chochote, so kaa hivyo..!!
 
Katika muendelezo wa sheria za ajabu na za hovyo huko Korea Kaskazini, mtawala wa taifa hilo Kim Jong (Kiduku) amepiga marufuku ulaji wa soseji akisema ni chakula cha utamaduni uliopitiliza wa kibepari wa magharibi.
---

North Koreans have reportedly been banned from eating hot dogs as part of a crackdown on Western culture infiltrating the hermit kingdom.

Dictator Kim Jong Un has declared that serving the sausage was an act of treason, The Sun reports, amid the rising popularity of a South Korean dish inspired by the US.

People caught selling or cooking hot dogs face the prospect of time in the country’s infamous labor camps, while Pyongyang has also decreed that divorcees could also be jailed.

As part of the regime’s efforts to quash capitalist culture among citizens, it has forbidden the sale of budae-jjigae – a dish imported from pro-Western neighbor South Korea.

North Korean dictator Kim Jong Un has banned the sale of South Korean dish budae-jjigae.

North Korean dictator Kim Jong Un has banned citizens of eating hot dogs. Korean Central News Agency/Korea News Service via AP

People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp.

People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp. Paul Martinka

The spicy Korean-American hotpot – which means “army base stew” – includes hot dogs or spam among it ingredients.

It was born from meats discarded by US soldiers based in the region during the Korean War of the 1950s, with hungry locals using the items to create stews.

The fusion fare is believed to have crossed the border into North Korea some time in 2017, decades after it was invented in the south.
anawatetea wananchi wake wasile nafsi zao kosa lake liko wapi
 
Wale jamaa ulishawahi ona kuna hospitali karibu na jamii zao?
Ulishawahi kuona wahadzabe wakilalamika hawana hospitali?
Ulishawahi kuona mmasai ndani ya rubega yake akienda hospitalini labda kama ni mlinzi.
Bro vyakula wanavyokula vinafanya wawe resistant kwa magonjwa hasa yale yasiyoambukiza.
Wastani wa miaka ya kuishi(average life expectancy) ya Wahadzabe na jamii nyingi indigeneous duniani ni miaka 32.
 
Ujamaa ni mfumo wa utawala unaomfanya kiongozi wa juu aonekane mkubwa kupita kiasi.

Nchi za kijamaa Serikali ina fedha ila raia ni makapuku.


Wananchi wa kawaida wanatabika mno huku watawala wakiwatenda watakavyo bila kuhojiwa.
Samahani, Korea Kaskazini ni Wajamaa au Komunisti? Maana wanasema Sweden, Norway ni Socialist (Wajamaa). Au ujamaa wa Korea Kaskazini ndio Ujamaa uchwara wenyewe?
 
Na hiyo cancer inasababishwa na lifestyle ya mtu. Watu wengi wanaoishi mjini wanaumwa kansa kutokana na vyakula wanavyokula na kansa inashambulia wadada wengi wa mjini kutokana masuala ya vipodozi. Mfano wale wanaoweka ngozi zao kwenye mionzi.
Cancer haisababishwi tu na lifestyle inadhaniwa hivyo ila Hakuan dunuani anayejua hasa sababu kuu ya cancer ni ipi ni fumbo
 
Wastani wa miaka ya kuishi(average life expectancy) ya Wahadzabe na jamii nyingi indigeneous duniani ni miaka 32.
Ushahidi?
Na kama ni 32 mbona leo kuna wamasai wazee kibao na hata ukienda vijijini wengi wanaoishi huko ni wazee waliokula chumvi ya kutosha?
 
Katika muendelezo wa sheria za ajabu na za hovyo huko Korea Kaskazini, mtawala wa taifa hilo Kim Jong (Kiduku) amepiga marufuku ulaji wa soseji akisema ni chakula cha utamaduni uliopitiliza wa kibepari wa magharibi.
---

North Koreans have reportedly been banned from eating hot dogs as part of a crackdown on Western culture infiltrating the hermit kingdom.

Dictator Kim Jong Un has declared that serving the sausage was an act of treason, The Sun reports, amid the rising popularity of a South Korean dish inspired by the US.

People caught selling or cooking hot dogs face the prospect of time in the country’s infamous labor camps, while Pyongyang has also decreed that divorcees could also be jailed.

As part of the regime’s efforts to quash capitalist culture among citizens, it has forbidden the sale of budae-jjigae – a dish imported from pro-Western neighbor South Korea.

North Korean dictator Kim Jong Un has banned the sale of South Korean dish budae-jjigae.

North Korean dictator Kim Jong Un has banned citizens of eating hot dogs. Korean Central News Agency/Korea News Service via AP

People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp.

People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp. Paul Martinka

The spicy Korean-American hotpot – which means “army base stew” – includes hot dogs or spam among it ingredients.

It was born from meats discarded by US soldiers based in the region during the Korean War of the 1950s, with hungry locals using the items to create stews.

The fusion fare is believed to have crossed the border into North Korea some time in 2017, decades after it was invented in the south.
Soseji ni malaji ya kissenge wacha apige marufuku
 
Back
Top Bottom