Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Ushahidi?
Na kama ni 32 mbona leo kuna wamasai wazee kibao na hata ukienda vijijini wengi wanaoishi huko ni wazee waliokula chumvi ya kutosha?
Nimekuambia jamii "nyingi" indigeneous, halafu fahamu Wamasai ni wafugaji na wafanyabiashara, ni jamii inayaoingiliana na watu wengine wa nje sana labda hata kuliko jamii yako ya huko Namtumbo.

Halafu unaelewa maana ya "wastani"?
 
Soseji ni malaji ya kissenge wacha apige marufuku
Nani anaamua haya ni malaji ya kisenge au sio ya kisenge?

Kwa hiyo akija mtawala Tanzania anayeamini sembe ni malaji ya kisenge ugali upigwe marufuku??
 
Mwl. Nyerere katika kuunda Mfumo wa Utawala wa CCM pamoja na Mfumo wa Utawala wa Serikali katika nchi hii ya Tanzania aliiga Mifumo ya Utawala kutoka Korea ya Kaskazini, China na Urusi (USSR).

Watanzania na raia wa China, Urusi au Korea ya Kaskazini hatuwezi kuchekana, Wananchi wote katika nchi hizi ni MATEKA WA WATAWALA.
Sisi na Korea Kaskazini ni MAZOMBI wa WATAWALA. China na Urusi kuna ka unafuu kidogo. WATASHI O SHINJITE.
 
Samahani, Korea Kaskazini ni Wajamaa au Komunisti? Maana wanasema Sweden, Norway ni Socialist (Wajamaa). Au ujamaa wa Korea Kaskazini ndio Ujamaa uchwara wenyewe?
Welfare capitalism.
 
Nimekuambia jamii "nyingi" indigeneous, halafu fahamu Wamasai ni wafugaji na wafanyabiashara, ni jamii inayaoingiliana na watu wengine wa nje sana labda hata kuliko jamii yako ya huko Namtumbo.
Kwahiyo ukiingiliana na watu wa nje lifespan yako inaongezeka sio?
Mkuu watu wanaokula vitu vya asili ndo wanamaisha marefu hapa duniani. Mfano wachina na wahindi ndo maana wanapopulation kubwa.
 
Nani anaamua haya ni malaji ya kisenge au sio ya kisenge?

Kwa hiyo akija mtawala Tanzania anayeamini sembe ni malaji ya kisenge ugali upigwe marufuku??
Sembe ni kwa ajili ya wanyamwezi tu, na kwa huko kwetu wanyamwezi kutoka bara ndio asili yao nguna
Izo soseji asili yake ni Europe zina dalili kuwa ni malaji ya kisenge
 
Kaka unaweza kuwa sahihi kwa unachosema, ila binafsi nimewahi kuweka apple ndani, likachukua muda kama wa tatu bado zima na nikalila. Ila ukichukua apple la lushoto lingekua limeshaharibika mapema sana. Sababu ni kwamba apple la nje (imported) linapigwa mionzi ili kuuwa vimelea vinavyolifanya liendelee kuiva ili kulipa long shelf life kulinganisha na apple la Lushoto ukilichuma vimelea vinaendelea kuwa hai hivyo linaoza mapema. NIKO TAYARI KUSAHIHISHWA. WATASHI O TEISEI SHIMASHITA
Wewe ni muongo unadanganya watu eti vyakula vya mcdonald haviozi

Tena vyakula vya asili ndo vinachukua mda mrefu kuoza mfano viazi vya asili vinakaa mda mrefu bila kuoza

Nyanya za asili zilikua zinakaa mda mrefu bila kuoza same kwa karoti

Vyakula vya kisasa ndani ya mda mfupi sana vinaanza kuharibika
 
Kaka unaweza kuwa sahihi kwa unachosema, ila binafsi nimewahi kuweka apple ndani, likachukua muda kama wa tatu bado zima na nikalila. Ila ukichukua apple la lushoto lingekua limeshaharibika mapema sana. Sababu ni kwamba apple la nje (imported) linapigwa mionzi ili kuuwa vimelea vinavyolifanya liendelee kuiva ili kulipa long shelf life kulinganisha na apple la Lushoto ukilichuma vimelea vinaendelea kuwa hai hivyo linaoza mapema. NIKO TAYARI KUSAHIHISHWA. WATASHI O TEISEI SHIMASHITA
Mkuu upo sahihi. Yale maapple yanakuwa processed ili liweze kusafirishwa kutoka nchi fulani, likae bandarani, mfanyabiashara aje alinunue ndo akuuzie . So mpaka unakuja kulitia mdomoni limeshakaa siku nyingi.
 
Mwl. Nyerere katika kuunda Mfumo wa Utawala wa CCM pamoja na Mfumo wa Utawala wa Serikali katika nchi hii ya Tanzania aliiga Mifumo ya Utawala kutoka Korea ya Kaskazini, China na Urusi (USSR).

Watanzania na raia wa China, Urusi au Korea ya Kaskazini hatuwezi kuchekana, Wananchi wote katika nchi hizi ni MATEKA WA WATAWALA.
Sio kweli.

Watanzania huwezi kuwafananisha na wachina na warusi
 
Japokuwa wakorea wanawekea sheria kali na rais wao lakini hawalalamiki kuhusu mashule, maji na miundombinu kama sisi .
Watamlalamikia nani sasa? Na wataanzaje kulalamika ikiwa hawaruhusiwi kuongea?
 
Watamlalamikia nani sasa? Na wataanzaje kulalamika ikiwa hawaruhusiwi kuongea?
Siyo kama hawalalamiki kwakuwa wamezuiwa lakini wao washajitosheleza kwenye vitu hivyo hawana shida ndogondogo kama sisi. Kama nchi inamiliki manuclear unafikiri itakuwa na shida kama za huku Tz.
 
Haya ni mawazo yako na ni uongo
Bishana na Who mwenyewe


Hio ni Aspartame, Artifical sweetener ambayo inatumika bidhaa zaidi ya 6000 duniani kote, Who kila siku inapiga kelele kuna mahusiano baina ya hio sweetener na Cancer ila yanatoka majibu rahisi rahisi toka kwa watu wa marketing.

Baadhi ya Bidhaa zinazowekwa hizo sweetener ni kama Coka na Pepsi (Zero) big G, Ice cream, Cereal based products kama cerelac, cornflakes etc.

Kupinga Bidhaa za kisasa haziji na magonjwa ni ujinga tu, kuna tafiti kibao zinaprove hili.
 
Bishana na Who mwenyewe


Hio ni Aspartame, Artifical sweetener ambayo inatumika bidhaa zaidi ya 6000 duniani kote, Who kila siku inapiga kelele kuna mahusiano baina ya hio sweetener na Cancer ila yanatoka majibu rahisi rahisi toka kwa watu wa marketing.

Baadhi ya Bidhaa zinazowekwa hizo sweetener ni kama Coka na Pepsi (Zero) big G, Ice cream, Cereal based products kama cerelac, cornflakes etc.

Kupinga Bidhaa za kisasa haziji na magonjwa ni ujinga tu, kuna tafiti kibao zinaprove hili.
Mambo sio marahis hivyo
Ingekua hivyo wavuta sigara wote wangepata cancer ya koo au mapafu lakin wanaopata ni wachache

Swala la magonjwa ni swala mtambuka
 
Mambo sio marahis hivyo
Ingekua hivyo wavuta sigara wote wangepata cancer ya koo au mapafu lakin wanaopata ni wachache

Swala la magonjwa ni swala mtambuka
Sawa lakini inaongeza huo upatikanaji.

Kama umesoma hio report ya Who kila watu 6 wanaokufa mmoja anakufa na Kansa,

Na ukiangalia rate ya Kansa Nchi zinazokula processed food wanakufa zaidi na Kansa kuliko nchi masikini, sio coincidence mkuu.

Estimated age-standardized incidence rates (World) in 2020, all cancers, both sexes, all ages....jpg
 
Sawa lakini inaongeza huo upatikanaji.

Kama umesoma hio report ya Who kila watu 6 wanaokufa mmoja anakufa na Kansa,

Na ukiangalia rate ya Kansa Nchi zinazokula processed food wanakufa zaidi na Kansa kuliko nchi masikini, sio coincidence mkuu.

View attachment 3196577
Sipingi takwimu zako ila fahamu huku watu wengi bado hawapimi wakiumwa mpaka wanafariki

Mfano nchi kama india watu billion 1.5 kuna umaskini wa kutisha kuna watu wengi sana wanaumwa hata hawaendi hospital imagine tu choo tu ni changamoto

Mimi ninandugu yangu aliumwa mpaka dakika ya mwisho aligoma kwenda hospitalini
 
Bishana na Who mwenyewe


Hio ni Aspartame, Artifical sweetener ambayo inatumika bidhaa zaidi ya 6000 duniani kote, Who kila siku inapiga kelele kuna mahusiano baina ya hio sweetener na Cancer ila yanatoka majibu rahisi rahisi toka kwa watu wa marketing.

Baadhi ya Bidhaa zinazowekwa hizo sweetener ni kama Coka na Pepsi (Zero) big G, Ice cream, Cereal based products kama cerelac, cornflakes etc.

Kupinga Bidhaa za kisasa haziji na magonjwa ni ujinga tu, kuna tafiti kibao zinaprove hili.
Majibu rahisi kama yapi?
Hakuna majibu rahisi kwamba soda, soseji, burgers na vyakula vingine processed vina athari katika afya, hakuna majibu rahisi katika mfumo wa kisasa wa maisha wa binadamu na athari zake. Wanachopinga watu wengi wenye akili ni exaggerations, conlusions za jumla jumla na upotoshaji usiozingatia muktadha wa mambo mengi mtambuka. Zaidi sana wanachopinga ni conspiracies za kijinga kama za huyo anayasema soseji na burgers zinawekwa nyama za watu au makampuni ya chakula yana mpango wa depopulation na kufanya watu mazombi, kwamba cancers, kisukari na magonjwa mengine ni matokeo ya moja kwa moja na ya wazi ya mtindo wa kisasa wa maisha hasa vyakula.
 
Back
Top Bottom