Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hapa ndipo kwenye rushwaUkaguzi kuanza tarehe 01/03/2021
- Magari yatashushwa kwa utaratibu wa kawaida kutoka kwenye meli na kuegeshwa kwenye eneo lililopangwa
- Wakala wa forodha /muagizaji atafanya maombi ya ukaguzi wa gari katika mfumo wa TBS na kufanya malipo kabla ya ukaguzi
- Wakala/muagizaji atafanya taratibu zote za kiforodha na kuzikamilisha
- Ukaguzi wa gari utafanyika kama hatua ya mwisho ya utoaji wa gari bandarini.
- Cheti cha ukaguzi pamoja na Cheti ha Ubora (CoR) vitatolewa katika mfumo uliotumika kuomba kufanya ukaguzi.
- Cheti hicho kitatumika na mamlaka husika katika kuondosha gari bandarini.
- Gari ambalo halitakidhi matakwa ya kiwango,litaruhusiwa kuondoshwa bandarini kwa masharti maalum na baada ya matengenezo litapimwa katika yadi ya UDA.
- TBS imeagiza mitambo ya ukaguzi wa magari ambayo inatarajiwa kuanza kuwasili mapema mwezi wa pili kwa ajili ya kufungwa katika maeneo ya ukaguzi
- Mitambo 11 itafungwa bandarini na mtambo mmoja utafungwa nje ya bandari (UDA) kwa ajili ya ukaguzi wa magari baada ya matengenezo.
- Wataalam zaidi ya 45 wamesha andaliwa kwa ajili ya kuanza ukaguzi .
Na likikutwa bovu gharama za matengenezo ni nani? Na kipindi linakaguliwa nje ya nchi nani alikuwa analipia matengenezo likiwa bovuGharama ni dola 140 boss
gharama za ukaguzi kwa hapa nchini zitakua nafuu kidogo...ni dola 140 fixed boss.
inagharim dola 140 na zoezi husika halizidi masaa mawili.
Vipi kwa sisi tunaopitishia gari zetu Mombasa?Gharama ni dola 140 boss
gharama za ukaguzi kwa hapa nchini zitakua nafuu kidogo...ni dola 140 fixed boss.
Hivi mkuu kuna charges au regulation tofauti hapa kwetu ukiagiza gari ambalo ni left hand?Point kubwa sana niliyotegemea isingekosa ni upande wa uscan. Tz tunatumia right hand ila kuna nchi tofaut zenye left hand ambayo ni changamoto kwa hapa tz. So Japani wanadrive right hand site tofaut na most of European countries (except UK, ireland etc) na USA.
Swala la inspection ilo lipo kila nchi. Hata japani magar yao yanakuja mabovu tu hasa yale ya bei ndogo.
Gar ya mwingereza nayo gharama kwa mtz ni wachache wa kuafford ndyomaana tunakomaa na za kijapan.
SanaNzuri
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
- Wateja wanashauriwa kutumia makampuni yaliyo sajiliwa na kutambulika na serekali na si kuagiza wao binafsi.
- Gharama ndogo ndogo za matengenezo zitakuwa kwa mteja mfano: Tairi kama ni za kubadilisha, wheel balance, taa kama zinakuwa hazimuliki vizuri n.k
Kampuni za jp ndio zilikuwa zinagharamia, sasa hii mpya ni mzigo kwetuNa likikutwa bovu gharama za matengenezo ni nani? Na kipindi linakaguliwa nje ya nchi nani alikuwa analipia matengenezo likiwa bovu
Mkuu unapitishia msa? Naomba uzoefu tafadhaliVipi kwa sisi tunaopitishia gari zetu Mombasa?
Hata ukipitisha mombasa ni lazima gari ikiingia Tz utaisajili TRA na kulipa ushuru. Ukimaliza hapo ndio unatakiwa clearance ya TBS ili upate release ya gari yako na kadi ndio ukaweke plate number.Kinachofuata watu watapitishia gari Mombasa kukwepa usumbufu wa kubambikiwa matatizo ili mpigwe hela.
Uzuri WanaCCM hawataguswa na hili...... alisikika kada mmojaWatu watapigwa kwenye gharama za matengenezo vizuri kabisa!Hii ghost government ambayo watu wanaikenulia menu itaweka matengenezo hewa ili watu walipe kodi hewa kwa sababu hapa nia kuu ni kodi.Mark these words!
Bado litaletwa Dar ili likaguliwe, kazi ni kwakoKinachofuata watu watapitishia gari Mombasa kukwepa usumbufu wa kubambikiwa matatizo ili mpigwe hela.
Hapa zitapita kutokea Mutukula na Rusumo.Hata ukipitisha mombasa ni lazima gari ikiingia Tz utaisajili TRA na kulipa ushuru. Ukimaliza hapo ndio unatakiwa clearance ya TBS ili upate release ya gari yako na kadi ndio ukaweke plate number.
Labda likipita mombasa likifika bongo uende kwenye mabucha ya magari ununue kadi then........ la sivyo lazima TBS wakague tu. Tena wamenunua mobile inspection machines nadhani ndio zitafungwa huko entry point za Holili, Namanga na Tunduma.