Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huja kutana na baadhi ya wazazi ukiongea jambo anavua miwani anakuuliza unasemaje? As if akivaa miwani hawasikii [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huja kutana na baadhi ya wazazi ukiongea jambo anavua miwani anakuuliza unasemaje? As if akivaa miwani hawasikii [emoji23]
hahahahahahahahahahaaHuja kutana na baadhi ya wazazi ukiongea jambo anavua miwani anakuuliza unasemaje? As if akivaa miwani hawasikii 😂
, shukrani boss nimebarikiwa na picha hizi, hii ni ya mwaka gani na gharama mpaka kumfikia mteja inafika milioni ngapi tafadhali..??Hii Pajero pia tumemuagizia mteja na kwa sababu ya kubanwa na Majukumu alishindwa kuja kuipokea ndani ya mda. Tumeihifadhi kwa zaidi ya wiki 3 sasa, kesho Mungu akijaalia tutamkabidhi mzigo wake.
View attachment 1300164View attachment 1300165View attachment 1300166View attachment 1300167View attachment 1300168View attachment 1300169View attachment 1300170
napenda Sana pajero, generation hii ndo naihusudu zaidi..
Shukrani sana ndugu. Tutafika maeneo yote ya nchi, tunaenda hatua kwa hatua. Tumedhamiria kuhudumia nchi nzima na kurahisisha maisha ya watanzania wote watakaohitaji magari kwa kuagiza.kampuni iko moto, Mungu awapeni afya ba baraka tele mfikie malengo.
kula la kheri.
mtukumbuke na sisi wa Kagera.
tunaona IT zikiongozana kuvushwa burundi na Rwanda. tengemezeni fursa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuja kuomba hiyo kazi wanayoyataka,
Zinaanzia 19m bossBMW x3 (SUV) inasimamia ngapi?
Kila kitu hapo? Au bei ya Japan?Zinaanzia 19m boss
Hapo ni kila kituKila kitu hapo? Au bei ya Japan?