BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,248
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mkuu nikiwa na 15.5m nikija kwenye ofisi yenu mnanipatia hiyo gari ikiwa na vibali vyote?Rav 4 kill Time zilitoka miaka ya 2000 mpaka 2005, ni Toleo la Toyota la muundo
Wa SUV, ambalo ni gumu, rahisi kuhudumia kuanzia matengenezo na mafuta. Zipo zenye injini kubwa ya kawaida ambayo ni Cc 2000 na pia zipo za Cc 1800, zipo zenye 4wheel drive na ambazo hazina. Kwa ujumla ni gari nzuri sana na bei yake imeshuka kutoka 18m mpaka 15.5m
Mkuu nataka Toyota liteace au Suzuki carry zinaweza kuwa bei ganiKabla hujaamua aina ya gari na lini unataka kumiliki gari ya kwa mala ya kwanza basi muhim ukafaham haya yafuatayo.
1. Tengeneza Bajeti. Baadhi ya watu katika Jamii zetu, wamekua na kawaida ya kununua gari bila kuzingatia bajeti ya vitu kama matengenezo, mafuta, malipo ya maegesho, Vibali, n.k jambo linalopelekea kushindwa kufanya mambo mengine ya msingi iwapo kipato ni cha kati na aina ya gari unalomiliki linahitaji bajeti kubwa.
2. Amua utatumia utaratibu gani wa malipo. Kuna njia za kulipia gari yako kama vile kulipia kwa awamu, kupewa mkopo na taasisi za fedha, au kuhifadhi we mwenyewe na kilipia yote kwa mara moja. Ni muhim kuangalia hili ili kujiepusha na hali ya kujiumiza kiuchumi pindi unapoamua kumiliki gari kwa mara ya kwanza. Iwapo kipato ni cha kati unaweza kuzungumza na muuzaji husika ukalipia kidogo kidogo na mwishowe ukamalizia na kupewa gari yako, hii itakuepusha kumaliza mpaka akiba ambayo ingeweza kukusaidia wakati wa dharula.
3. Angalia unataka nini kwenye gari yako. Usinunue gari kwa sababu umemuona jilani yako ana gari. Ni vizuri sana uangalie mambo mbali mbali kabla hujaamua kuchukua aina flani ya gari, vitu vya msingi kijiuliza ni kama vile (unataka gari yenyewe 4WD, 2WD, ya juu juu au chini, yenye sun roof, yenye camera ya nyima, inayotumua upepo kwenye shock up au za kawaida, itakua inapita njia mbovu zaidi au ya lami, iwe ya aina gani ya mafuta, iwe imetembea kilomita ngapi, aina ya injini na ukubwa wake n.k ukiacha kununua gari kwa ushabiki utakua kwenye nafasi nzuri ya kukipenda chombo chako na kupatq kilicho sahihi ambacho hakitakupa tabu moyoni.
4. Chunguza bei za kuimiliki hiyo gari ya ndoto yako. Hapa usifike kwa muuzaji au muagizaji mmoja ukamalizana nae halafu baada ya siku 2 unakutana na gari kama hiyo inauzwa kwa bei chini zaidi na ambayo ina ubora kuliko hiyo uliyouziwa bila kutafiti bei kwanza. Hii itakusaidia kuokoa kiasi cha pesa na pia kupata kilicho bora zaidi.
5. Chagua aina tofauti zinazofanana ili kuzilinganisha. Unapopenda aina flani ya gari na kuamua kuchukua hiyo hiyo wakati mwingine hua inaleta maumivu pale unapogundua aina flani ya gari ni bora zaidi kuliko hiyo na uzuri zote zinalingana bei na mwonekano hazitofautiani sana. Hapa nazungumzia gari kama Toyota Allion Vs Premio, Toyota Allex Vs Run X, Alteza Vs Lexus IS 200, n.k
6. Chunguzq gari husika itakua ikigharim kiasi gani kwa mwezi na kwa mwaka. Kununua gari hua ni jambo jepesi, lakini wakati mwingine kuihudumia gari hua ni jambo gumu kidogo haswa kama huitumii vizuri gari hiyo kukuingizia pesa zitakazokua zikiwesha uihudumie na pia uweze kutekeleza majuk yako mengine. Hapa angalia gharama za Bima, Mkopo, Vibali, Usajili, Ushuru, Mafuta, Matengenezo, Dharula n.k
Zifuatazo ni baadhi ya aina za magari ambazo zinawafaa sana vijana au watu wa kipato cha kati.
Gari hizo ni Vitz, Raum, IST, Passo, Platz, Ractis, Fun Cargo, Porte, Bb, Sienta, Duet, Nissan Note, Nissan March, Honda Fit, Spacio, Carina T.I, Cami, Allex/ Run X, Allion, Premio n.k
Gari hizo hapo juu hutumia mafuta kidogo, matengenezo yake ni rahisi na vifaa vyake ni vingi hapa Tanzania.
Wasalaam
Kimomwe Motors Tanzania Limited- Waagizaji wa Magari toka Japan
0746267740
Zinaanzia 11m boss. Ila kuna moja nimeiona jumla itafika kwa 10.6m na ina low millage ya 58,000km ya mwaka 2004
Kwa wastani gari hizo huanzia 15.5m mpaka 16.5m boss. Inakua imesajiliwa, itakosa bima tu hapo.Kwa hiyo mkuu nikiwa na 15.5m nikija kwenye ofisi yenu mnanipatia hiyo gari ikiwa na vibali vyote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nataka Toyota liteace au Suzuki carry zinaweza kuwa bei gani
Nami penda sana gari za Toyota Opahongera kiongozi lakini ningependa kufahamu zaidi kuhusu hizi gari za kuitwa Toyota Opa,,
natanguliza shukurani,,
Zinaanzia 11m bossMtoa maada.
Toyota mark II grande ya mwaka 2003 yenye yenye Engine ya 1G Inaenda kwa bei gani?
Sitaki zile zenye engine ya 1J....
Sent using Jamii Forums mobile app
Toyota Rush Umbali KM 80 Kushuka Chini Naipata Kwa Tsh Ngapi Nikija Kwenu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huo utaratibu wa kulipa kidogo ukoje na unachukua muda gani..?? Haya magari tunayapenda na tuna mahitaji nayo mwanawane lakini hizo hela za kulipa kwa mkupuo ndio hatuna aisee..!!
~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
Kama hi Pajero mpk Tz ni pesa ngapi?Hii Pajero pia tumemuagizia mteja na kwa sababu ya kubanwa na Majukumu alishindwa kuja kuipokea ndani ya mda. Tumeihifadhi kwa zaidi ya wiki 3 sasa, kesho Mungu akijaalia tutamkabidhi mzigo wake.
View attachment 1300164View attachment 1300165View attachment 1300166View attachment 1300167View attachment 1300168View attachment 1300169View attachment 1300170
2003 kushuka chini ni majanga matupuKichwa cha habari umeandika ya mwaka 2007 ndani ni yamwaka 2003.Unamaana gani?
Sent using Jamii Forums mobile app