Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan
Kwasababu hana kodi wala wafanyakazi wa kulipa..

Sent using Jamii Forums mobile app

Si kweli kwamba hatuna staff na hatulipi kodi boss. Staff tunao wa kutosha kuhudumia umma wa watanzania ndio mana ukifatilia mitandaoni utaona posts nyingi kuhusu huduma zetu kutoka kwa watu tofauti wa kampuni. Na kuhusu kodi iko wazi kwamba ni ngumu sana kufanya biashara kwa uwazi na kujitangaza halafu tuwe hatulipii kodi.

Sababu nyingine kwa nini hatukuongeza bei hiyo gari ni hii ya kwamba mwanzo tulipoiagiza tayari hesabu zake zilishaingia kwenye makadirio ya kodi hivyo isingekua busara kuitangaza bei ya juu zaidi wakati lengo la kuiuza ni kurudisha pesa tuliyotumia kumuagizia huyu mteja wetu aliyepatwa na matatizo akiwa nje ya nchi na hivyo kushindwa kuilipia kwa wakati huu.
 
Hatujataka kuuza bei ya showroom kwa sababu sisi ni Waagizaji na tunaridhika na discount tunayopewa na kampuni washirika wa Japan, hatujajikita kwenye kutengeneza faida kubwa kama wengine wanavyofanya.

Gari hii tulimuagizia mteja ambaye hakua amailipia chochote kwa sababu alikua nje ya nchi kwa wakati huo na tunafahamiana nae. gari ilipokaribia kufika alipatwa na matatizo yaliyosababishwa ashindwe kuilipia na uzuri alitueleza mapema hivyo tukawa hatujaifanyia usajili. Mwishowe alibariki na kuomba tuuze ili kutejesha kiasi tulichitumia kama Kampuni. Kuiagiza gari hii jumla iligharim 28.5 ndio sababu tukaitangaza kwa bei hiyo hiyo kwa kua hatukutaka ichukue mda kuuzika na pia haikua lengo gari hii itupatie faida kubwa zaidi.

Imekua heri kwa ndugu huyu hapa chini pichani ambae ameinunua gari hii kwa gharama ya kuagizia.

View attachment 1300158

Vizuri umeeleza mengi, jibu maswali ya speed na pia ni ya Mwaka gani?
 
Daaah nimeona pajero pale pembeni nimechanganyikiwa...
Hii Pajero pia tumemuagizia mteja na kwa sababu ya kubanwa na Majukumu alishindwa kuja kuipokea ndani ya mda. Tumeihifadhi kwa zaidi ya wiki 3 sasa, kesho Mungu akijaalia tutamkabidhi mzigo wake.

CB931CE6-706A-42F5-A5C5-43927C51D997.jpeg
95190C95-A578-4C26-99F3-EEFC965B5C65.jpeg
6B46FD29-18CE-4907-98F2-78B35F6C5C9B.jpeg
337CD14E-17D1-4A52-AC98-295D750EAB2D.jpeg
94F7AE85-5CDE-4F48-B744-FBF28B67712C.jpeg
65452631-003B-480E-B163-85CBA10A489A.jpeg
B307D0A4-B204-441B-8010-905FC9119DE2.jpeg
 
Afadhali umenitangulia kuliongea hili hiyo sterling imemuumbua pia seat za Lexus huwa ni leather.

😂😂 au Muuzaji nae hajui anauza nini, "Gari aina ya Lexus RX 350 lenye Engine ya Toyota Harrier 2.4L 2AZ"..... No bruh, its Toyota Harrier with Lexus Labels outside
 
nimefurahishwa na majibu ya @KIMOMWEMOTORS sasa amekuwa mfanyabiashara mwenye majibu yanayoeleweka sio m wale Madalali wengine anelezwa gari lilivyo anajibu kibabe uongo mtupu
LEXUS RX 330 zinafika bei ya chini 30m
juzi nimekutana na moja pale showroom mitaa ya kwa Warioba ni leather seat na kweli hawashushi
sasa hii nikaona tofauti namkubali mleta mada alipokubali ni Harrier 2.4
 
Mara nyingi hali hii hutokea madereva wengi pindi tunapokua kwenye high way au wakati tunatafuta mitaa na sauti ya Redio iko juu kidogo, hivyo kujikuta ukipunguza sauti ili upate kuona vizuri vibao vya majina ya mitaa.

Hii inatupa tafsiri kua, akili ya mwanadamu inahitaji utulivu mkubwa katika kutimiza mambo yake.

788556BF-B8D1-4BBC-AF9D-B81879B78E8C.jpeg
 
Inategemea na maeneo, kitandani huwa baby mama wangu anaongeza sauti ili nifike hitimisho kisawasawa huwa natumbua jicho zaidi ya mjusi aliebanwa na mlango.. hili nalo tuliite vipi..?
Upuuzi....

am better here
 
Back
Top Bottom