Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Sera yake ninayo ikubali ni akichaguliwa atahamishia ziwa Victoria Morogoro
 
Hamjui rungwe anaongea tuu, rungwe hana shida hata kidogo, huyo alishakua na pesa toka kitamba mpka serikali ya mkapa ikamletea figusifigusi hao ndio watz wa kwanza kufungua yard za magari bongo ikiitwa bahari motors maeneo ya makumbusho na mpka leo hayo majengo yapo na ni mali yake, huyo hana njaa hata kidogo.
ahsante sana muheshimiwa kwa kutuweka wazi....
wengi wao wanamuhukumu rungwe kwa kauli zake tata.
na tatizo si kauli zake bali wanaozitafsiri kichwa juu kauli zake wanamuona mzee ni kituko kumbe wao ndio sehemu ya vituko
 
Hahaha Hashim kura yangu unayo kupeleka bahari ya Hindi dodoma si kazi ya kitoto ujue😀😀
 
Usimchukulie poa mzee RUNGWE,
Ni MWANASHERIA wa mahakama KUU.

Pia anamiliki yadi 2 za magari hapa mjin.

Ishu ya million kwake sio ishu,

Afu yeye Yuko kimkakati zaidi,

Anatoa mfukoni million 1 ya fomu,
Afu Anapewa Anapewa na TUME million 15 za kufanyia kampeni kumnadi mgombea URAISI.

Afu kampeni zenyewe ndo Kama hizi, hataki kujichosha kabisa[emoji1]

Mjini shule mkuu
 
Hamjui rungwe anaongea tuu, rungwe hana shida hata kidogo, huyo alishakua na pesa toka kitamba mpka serikali ya mkapa ikamletea figusifigusi hao ndio watz wa kwanza kufungua yard za magari bongo ikiitwa bahari motors maeneo ya makumbusho na mpka leo hayo majengo yapo na ni mali yake, huyo hana njaa hata kidogo.
Ni jirani yangu, ana pesa tangia nakua mpaka sasa. Yard yake ya pili iko karibu na shule ya msingi makumbusho na ya pili nyoosha mtaa ule ule mpaka usawa/ karibu na Safina Hotel makumbusho. Miaka ya 2015 iliunguaga moto hii yard sijui kama alishairekebisha
 
Tayari Kura yangu kapata

Huyu Mzee hajawahi kuniangisha,mwaka huu asifanye kampeni kwenye vituo vya mabasi
 
Usimchukulie poa mzee RUNGWE,
Ni MWANASHERIA wa mahakama KUU.

Pia anamiliki yadi 2 za magari hapa mjin.

Ishu ya million kwake sio ishu,

Afu yeye Yuko kimkakati zaidi,

Anatoa mfukoni million 1 ya fomu,
Afu Anapewa Anapewa na TUME million 15 za kufanyia kampeni kumnadi mgombea URAISI.

Afu kampeni zenyewe ndo Kama hizi, hataki kujichosha kabisa[emoji1]

Mjini shule mkuu
Tume haitoi pesa mzee baba
 
Hiyo milioni moja ya fomu angetumia kuboresha nyumba yake anayoishi ingekuwa poa sana.
Huyu mzee ni tajiri haswaa!Anamiliki mabasi ya Rungwe express,kama unayajua basi utajua ni mabasi luxury!
 
Sera yake ninayo ikubali ni akichaguliwa atahamishia ziwa Victoria Morogoro
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji116]View attachment 1536103
Vipi mwaka huu hana ile sera yake ya kununua mindege ya kumwagilia mashambani
Usimchukulie poa mzee RUNGWE,
Ni MWANASHERIA wa mahakama KUU.

Pia anamiliki yadi 2 za magari hapa mjin.

Ishu ya million kwake sio ishu,

Afu yeye Yuko kimkakati zaidi,

Anatoa mfukoni million 1 ya fomu,
Afu Anapewa Anapewa na TUME million 15 za kufanyia kampeni kumnadi mgombea URAISI.

Afu kampeni zenyewe ndo Kama hizi, hataki kujichosha kabisa[emoji1]

Mjini shule mkuu
Tayari Kura yangu kapata

Huyu Mzee hajawahi kuniangisha,mwaka huu asifanye kampeni kwenye vituo vya mabasi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Back
Top Bottom