Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]hapo sio pakukosa kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakika. Watuachie mzee wetu, tunampenda kindakindakiNaona watu washaanza kumuonea wivu[emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu ashinde mechi zake.
Huyu mzee anajaribu kuwasilisha ujumbe mzito sana kwa wananchi na watawala, labda tatizo ninaloliona ni fasihi anayotumia iko juu ya uelewa wa wengi ndio maana inatafsirika kama mzaha vile.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakika. Watuachie mzee wetu, tunampenda kindakindaki
Ni sawasawa kuwa na Hawa comedian tupumzike kusikiliza wapayukaji. Ni KU refresh mind.Hakika mkuu, hii ni picha inayochorwa kuonekana upinzani wanafanya FUTUHI tu.
Hii si sawa!
Kweli upinzani wanafanya mizaha mingi tuu. Fikiria huu mzaha wa kuweka VP Salum Mwalimu wa certificate in journalism, huu mzaha ni zaidi ya kutembea na ubwabwa.Mgombea wangu mimi ni yupi!
Fikiria vizuri hili, picha inayojengwa hapo ni kuwa upinzani ni mizaha tu wanafanya utani.
inapendezaWadau huo, wakiufinya ubwecheView attachment 1543804
Kwa sera zake za ubwabwa uswahilini atatupata sana maana watu wana ratiba za misiba na sherehe za wiki nzima ili wapate kipunga [emoji16][emoji16].. Ila jamaa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Nimesoma kwa makini humu ndani nimegundua kuwa wengi wanapenda kupakuliwa na Hashimu Rungwe Spunda.
Sio kila Mgombea lazima awe serious....Hashim Rungwe umri unamtupa mkono ndiyo maana ameanza kutamani vitu vya kitoto.
Kimsingi huyu anadhalilisha hadhi ya UPINZANI na kuifanya CCM ionekane iko makini.
Mada ya lishe mbona ni rahisi kuiongea siyo lazima ubebe ma hotpot ya ubwabwa.
Subiri kampeni zianzeKinachoniuma hua hatoi ratiba ya maeneo anayotembelea. Nashauri atoe ratib ya wiki nzima kwa sisi wafuasi wake tujue tunamkuta wapi boss wetu na mahotpot y ubwabwa
Huyu mzee anajaribu kuwasilisha ujumbe mzito sana kwa wananchi na watawala, labda tatizo ninaloliona ni fasihi anayotumia iko juu ya uelewa wa wengi ndio maana inatafsirika kama mzaha vile.
Huwezi kujisifu kwa madaraja, reli, mandege nk huku wananchi wanashindia mlo mmoja.