Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ukipiga kura ya rais kwa Tundu Lissu, ujue unapiga kura ya katiba mpya, ujue unapiga kura kwa rais ambaye atarudisha uhuru na haki za wananchi, ujue unapiga kura kwa rais ambaye hatawasimanga..".Tundu Lissu. #Uchaguzi2020Hujui majukumu ya hao wazee uliowataja kaa kimya.Mfano mdogo tu, unataka Butiku ampigie kampeni mgombea wa ccm, je unajua wadhifa wake na ni taasisi gani.Fanya home work yako.
Wapi Butiku, Wapi Mangula, Wapi Kinana, Wapi makamba,Wapi Warioba.
Popote walipo hawa wazee mbona mwaka 2015 walikuwa busy Sana kusema Lowassa ni fisadi.
Vipi wamepata majibu tulipo waambia tatizo la nchi hii ni CCM na mfumo mbovu waliouhasisi?.
Njooni Mtetee vitambulisho vya Machinga wenye mitaji ya elfu 15 halafu wanatozwa kitambulisho Cha elf 20.
Njooni mtetee uwanja wa ndege chato.
Njooni mtetee Mbuga ya wanyama chato...
Nasema njooni tafadhari maana siwaoni majukwaani mkivitetea hivi vitu.
Tundu Lissu atawashangaza sana Mwaka huu lazima turudishe nchi yetu kwenye Uhuru Haki na maendeleo yao.
Hatuwezi kuendelea kuacha nchi chini ya Ngedere.
Tukutane October.
Ngedere ni nani sasa hapoWapi Butiku, Wapi Mangula, Wapi Kinana, Wapi makamba,Wapi Warioba.
Popote walipo hawa wazee mbona mwaka 2015 walikuwa busy Sana kusema Lowassa ni fisadi.
Vipi wamepata majibu tulipo waambia tatizo la nchi hii ni CCM na mfumo mbovu waliouhasisi?.
Njooni Mtetee vitambulisho vya Machinga wenye mitaji ya elfu 15 halafu wanatozwa kitambulisho Cha elf 20.
Njooni mtetee uwanja wa ndege chato.
Njooni mtetee Mbuga ya wanyama chato...
Nasema njooni tafadhari maana siwaoni majukwaani mkivitetea hivi vitu.
Tundu Lissu atawashangaza sana Mwaka huu lazima turudishe nchi yetu kwenye Uhuru Haki na maendeleo yao.
Hatuwezi kuendelea kuacha nchi chini ya Ngedere.
Tukutane October.
Unazungumzia wazee wapi hao? Kikwete yuko kusini, mzee pinda anapiga Nazi, kinana Arusha! Ccm ina wenyewe wewe pambana na hali yako! Upinzani labda mpate raisi wa twita sio TanzaniaWapi Butiku, Wapi Mangula, Wapi Kinana, Wapi makamba,Wapi Warioba.
Popote walipo hawa wazee mbona mwaka 2015 walikuwa busy Sana kusema Lowassa ni fisadi.
Vipi wamepata majibu tulipo waambia tatizo la nchi hii ni CCM na mfumo mbovu waliouhasisi?.
Njooni Mtetee vitambulisho vya Machinga wenye mitaji ya elfu 15 halafu wanatozwa kitambulisho Cha elf 20.
Njooni mtetee uwanja wa ndege chato.
Njooni mtetee Mbuga ya wanyama chato...
Nasema njooni tafadhari maana siwaoni majukwaani mkivitetea hivi vitu.
Tundu Lissu atawashangaza sana Mwaka huu lazima turudishe nchi yetu kwenye Uhuru Haki na maendeleo yao.
Hatuwezi kuendelea kuacha nchi chini ya Ngedere.
Tukutane October.
Huyu mgombea haeleweki! Anaposema "maendelelo hayana vyama" anamaanisha anachosema?
Kayasema Simiyu, Mara, nk. na sasa kayarudia Tabora.
Mwaka 2015 ulikuwa wapi wakati akimpigia kampeni wazi wazi Magufuli?Hujui majukumu ya hao wazee uliowataja kaa kimya.Mfano mdogo tu, unataka Butiku ampigie kampeni mgombea wa ccm, je unajua wadhifa wake na ni taasisi gani.Fanya home work yako.
Kwa Tanga Ummy amekamata Barabara. Hakuna mpinzani atatoboa huko.Mizengo Pinda Anapasha joto Arusha,Manyara na Kilimanjaro huku Samia Suluhu akitoa sauti mororo huko kusini Peramiho.
Dada Ummy Mwalimu Kaishika Tanga kisawasawa.
Kaskazini Unguja Kwa utulivu Mwinyi Juniour anamwaga Sera .
Dr Magufuli amewataka wakazi wa Kaliua kutofanya makosa ya kuchagua mbunge wa upinzani tena kwani duniani kote hakuna Upendo wa kumpa chakula mtoto wa jirani wakati wa kwako ana njaa.
Dr Magufuli amesema hata barabara ya Kaliua imejengwa kwa heshima ya mzee Kapuya hivyo wasimwangushe.
Tundu Lisu atakuwa na wakati mgumu sana mkoani Kagera kwa sababu CCM imefanya kampeni kisayansi sana na Dr Bashiru anaendelea kufukia mashimo.
Maendeleo hayana vyama!
Watanzania hatuna hulka ya kubaguana lazima tujiulize huyu anayeyafanya haya ndani ya nchi yetu ni mwenzetu kweliHuyu mgombea haeleweki! Anaposema "maendelelo hayana vyama" anamaanisha anachosema?
Kayasema Simiyu, Mara, nk. na sasa kayarudia Tabora.
Je, majimbo ya wapinzani hawatoi kodi? Je, hiyo miradi ya maendeleo anatumia pesa zake binafsi?
View attachment 1575328
Uzuri kikwete si magufuliJuzi akiwa sumbawanga kamwambia Kikwete anyamaze ale pension au file zake ziwekwe wazi na kweli kanyamaza duh.
Lissu atawaua kwa presha baadhi ya wazee.
CCM hutayarisha wapiga kura sio wazomeajiKwa nini CCM msitayarishe watu wa kumzomea Lissu iwe kama Magfuli alivyodhalilishwa?
Bukoba bashomile, john walimzomeaDr Magufuli amewataka wakazi wa Kaliua kutofanya makosa ya kuchagua mbunge wa upinzani tena kwani duniani kote hakuna Upendo wa kumpa chakula mtoto wa jirani wakati wa kwako ana njaa.
Dr Magufuli amesema hata barabara ya Kaliua imejengwa kwa heshima ya mzee Kapuya hivyo wasimwangushe.
Tundu Lisu atakuwa na wakati mgumu sana mkoani Kagera kwa sababu CCM imefanya kampeni kisayansi sana na Dr Bashiru anaendelea kufukia mashimo.
Maendeleo hayana vyama!
Pinda hawezi kupiga nazi mtu wa Mungu yule.Unazungumzia wazee wapi hao? Kikwete yuko kusini, mzee pinda anapiga Nazi, kinana Arusha! Ccm ina wenyewe wewe pambana na hali yako! Upinzani labda mpate raisi wa twita sio Tanzania
Ujue unatetea ushoga, ujue tutakuwa koloni la ubelgiji, ujue umemchagua mbelgiji kuwa rais wa Tz, ujue Tz itakuwa ya majimbo badala ya umoja wa kitaifa, ujue muungano umevunjika, ujue tumekaribisha rasmi yale ya kibiti, ujue kujitoa mhanga kumeingia Tz.Ukipiga kura ya rais kwa Tundu Lissu, ujue unapiga kura ya katiba mpya, ujue unapiga kura kwa rais ambaye atarudisha uhuru na haki za wananchi, ujue unapiga kura kwa rais ambaye hatawasimanga..".Tundu Lissu. #Uchaguzi2020
Achana na takataka za ccm
Kaka Wahaya ni namba nyingine kabisa huwa hawatishiwi nyau na hata siku mmoja usiwakejeli kamwe kwani huwa hawasahau...subiri tarehe 28.10. uone ndiyo utaelewa kama kweli Dr. Bashiri alifunika mashimo au alifunua mashimo....Dr Magufuli amewataka wakazi wa Kaliua kutofanya makosa ya kuchagua mbunge wa upinzani tena kwani duniani kote hakuna Upendo wa kumpa chakula mtoto wa jirani wakati wa kwako ana njaa.
Dr Magufuli amesema hata barabara ya Kaliua imejengwa kwa heshima ya mzee Kapuya hivyo wasimwangushe.
Tundu Lisu atakuwa na wakati mgumu sana mkoani Kagera kwa sababu CCM imefanya kampeni kisayansi sana na Dr Bashiru anaendelea kufukia mashimo.
Maendeleo hayana vyama!
Ukipiga kura ya rais kwa Tundu Lissu, ujue unapiga kura ya katiba mpya, ujue unapiga kura kwa rais ambaye atarudisha uhuru na haki za wananchi, ujue unapiga kura kwa rais ambaye hatawasimanga..".Tundu Lissu. #Uchaguzi2020Ujue unatetea ushoga, ujue tutakuwa koloni la ubelgiji, ujue umemchagua mbelgiji kuwa rais wa Tz, ujue Tz itakuwa ya majimbo badala ya umoja wa kitaifa, ujue muungano umevunjika, ujue tumekaribisha rasmi yale ya kibiti, ujue kujitoa mhanga kumeingia Tz.
Sasa mpigie kura ufie Tz halafu yeye arudi kwake Ubelgiji.
Hata Mbowe kajitenga na Lissu why?Wapi Butiku, Wapi Mangula, Wapi Kinana, Wapi makamba,Wapi Warioba.
Popote walipo hawa wazee mbona mwaka 2015 walikuwa busy Sana kusema Lowassa ni fisadi.
Vipi wamepata majibu tulipo waambia tatizo la nchi hii ni CCM na mfumo mbovu waliouhasisi?.
Njooni Mtetee vitambulisho vya Machinga wenye mitaji ya elfu 15 halafu wanatozwa kitambulisho Cha elf 20.
Njooni mtetee uwanja wa ndege chato.
Njooni mtetee Mbuga ya wanyama chato...
Nasema njooni tafadhari maana siwaoni majukwaani mkivitetea hivi vitu.
Tundu Lissu atawashangaza sana Mwaka huu lazima turudishe nchi yetu kwenye Uhuru Haki na maendeleo yao.
Hatuwezi kuendelea kuacha nchi chini ya Ngedere.
Tukutane October.
Waendelee kupewa upofu ili,Uhuru wa kweli na haki za msingi zirudi kwa umma na taifa.
Ngoja tuone hiyo kesho waitu!Kaka Wahaya ni namba nyingine kabisa huwa hawatishiwi nyau na hata siku mmoja usiwakejeli kamwe kwani huwa hawasahau...subiri tarehe 28.10. uone ndiyo utaelewa kama kweli Dr. Bashiri alifunika mashimo au alifunua mashimo....