Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Hivi kwa nini Wafuasi wa Lisu mnakuwaga na Jazba Kama za Mbeligiji!? Au amaesha wajaza ujinga!?Wakiitwa watu wenye akili usiende, bichwa lako ni kasha tu, una kaswende ya ubongo.
Kiingereza chenyewe kinaonyesha kweli wee ni mfuasi wa Jiwe. Eti, "Say NO for Lissu"! Mnaabisha nchi yetu. Andika Kiswahili tu kuliko kuboronga hivyo.
Inaonekna kuwa Jiwe amefanikiwa kuwaaminisha wafuasi wake kuwa ni malaika ambaye hastahili kuwa hapa duniani. Malaika Israel anayetuma watu wake kumiminia wengine risasi ili kuwatoa roho! Mmekuwa braishwashed, mnamwona "mungu-mtu". Magufuli na Lissu ni binadamu tu - wanakula na kujisaidia. Tena kwa roho nzuri, bora Lissu.
Ugumu wa maisha kwa wafuasi wa CHADEMA kunawafanya muwe na jazba kila sehemu.Wakiitwa watu wenye akili usiende, bichwa lako ni kasha tu, una kaswende ya ubongo.
Lissu ni wakuhurumiwa,binafsi inanisikutisha saana kwa tabia yake ya kuamini kuwa yeye kwa Tanzania hayupo wa kumliko,usipokuwa ubeligiji na kwinginekoHuyu jamaa anawadnganya watu kuwa ni mwema lakini ni mtu jeuri na kwenye dharau kwa watanzania na waafrika wengine, saana yeye anpenda kuwaabudu wazungu kuwa ndo wanaweza kumzidi akili.
Yangu kipindi kile anawatukana wale wazee wa kamati ya mdini kuwa ni professorio rabish ndo nilijua hana nidham kabisa,
Anadhani ana akiri kuliko hao wazee?
Ila wapambe wake ngoja wamkabidhi akili zao maana wanaona ndo mjanja kuliko wao.
Kwa uelewa huu wa wafuasi wa lissu ,ikulu mtakuwa mnaisikia tu kila uchaguzi unapofanyikaWewe lazima una akili ya kitumwa, sijui ni kabila gani! Yaani unajidharaulisha kiasi hicho? Magufuli, Trump na wewe Sawa watu ila jinsi hiyo IQ yako tu! Wake up! Ki ukweli Lisu ni zaidi ya Magufuli ni level ya watu kama Obama, Bill Clinton (big dog), Blair etc. magufuli kama Kim Jong Un, Castro, Caucesco, Maduro etc
Lakini kumbuka watanzania ndio walitaka iwe hivyo, Sasa sijajua wewe na jiwe mna akili kuliko wengineHaikupita hadi leo baada ya kuonekana ujinga mtupu
Kama IQ yake ilivyoLeo anasema Majimbo yataleta ukabila wakati juzi alikuwa Mara(Bunda) alisema hawana maendeleo kwa sababu walichagua upinzani nani mkabila Kati ya Lissu ambaye anataka watu waamue maendeleo yao kupitia majimbo sio kujitegemea Serikali kuu na yeye anabadilisha matumizi ya pesa na kuzipeleka kwenye matumizi mengine kwa jinsi anavyotaka.
Majimbo yataleta ukabila wakati anachukua pesa ya ujenzi wa uwanja wa ndege Kigoma na kupeleka Chato mkabila hapo nani happy Kati yake na Tundu Lissu nchi hii kila mkoa una rasilimali za kutosha watu waachwe waamue maendeleo yao na wawe na say ya kumfukiza mtu yeyote kazi ndio hoja ya Lissu.
Eti anasema Serikali za Majimbo zitachelewesha maendeleo wakati CCM kila kukicha inagawa mikoa,Walaya na kata na kupanua matumizi ya wafanya kazi badala ya kupeleka pesa kwenye maendeleo.
Magufuli asaidiwe kujibu hoja za Lissu maana uwezo wake kujibu hoja ni mdogo mno.
kinachoifanya ccm iendelee kuwa hai ni kukosa elimu kwa watanzania, imagine mtu anasema majimbo yatatugawa na watu wanamshangilia!
yatatugawa vipi sasa?
yani ukitaka kumtawala mjinga mnyime elimu
Magu = kichwa maji..Magufuli hajui kwamba mikoa tuliyonayo chimbuko lake ni majimbo yaliyokuwepo wakati wa mkoloni.
Hiyo Phd yake alisomea wapi huyo mzee,Leo anasema Majimbo yataleta ukabila wakati juzi alikuwa Mara(Bunda) alisema hawana maendeleo kwa sababu walichagua upinzani nani mkabila Kati ya Lissu ambaye anataka watu waamue maendeleo yao kupitia majimbo sio kujitegemea Serikali kuu na yeye anabadilisha matumizi ya pesa na kuzipeleka kwenye matumizi mengine kwa jinsi anavyotaka.
Majimbo yataleta ukabila wakati anachukua pesa ya ujenzi wa uwanja wa ndege Kigoma na kupeleka Chato mkabila hapo nani happy Kati yake na Tundu Lissu nchi hii kila mkoa una rasilimali za kutosha watu waachwe waamue maendeleo yao na wawe na say ya kumfukiza mtu yeyote kazi ndio hoja ya Lissu.
Eti anasema Serikali za Majimbo zitachelewesha maendeleo wakati CCM kila kukicha inagawa mikoa,Walaya na kata na kupanua matumizi ya wafanya kazi badala ya kupeleka pesa kwenye maendeleo.
Magufuli asaidiwe kujibu hoja za Lissu maana uwezo wake kujibu hoja ni mdogo mno.