Mkuu kuna elimu yabure hasa Tanzania?Mi naona hata asingefanya kitu kingine chochote, Elimu Bure tu inatosha kumrudisha Ikulu.
Porojo, research za vichochoroni. Utajionea kijani tupu hiyo 0ct 28.Kazi tu.Hizi ndizo hesabu, huwa haziongopi. Mwaka 2015 Magufuli aliungwa mkono na makundi mengi tena waziwazi kabisa, lakini baada ya miaka mitano, anaungwa mkono na makundi machache sana waziwazi, na anapingwa na makundi mengi. Wengi wanaompinga wanampinga kwa siri na wachache waziwazi.
Mwaka huu kazi ipo
Endelea kujiongopea mkuu, majibu kwny sanduku la kuraHizi ndizo hesabu, huwa haziongopi. Mwaka 2015 Magufuli aliungwa mkono na makundi mengi tena waziwazi kabisa, lakini baada ya miaka mitano, anaungwa mkono na makundi machache sana waziwazi, na anapingwa na makundi mengi. Wengi wanaompinga wanampinga kwa siri na wachache waziwazi.
Mwaka huu kazi ipo
Jinga laoooo!Huwezi kutumia nguvu kama hauna
Hatuwezi kukubali hasara hii kubwa ya kujenga uwanja wa kimataifa wa ndege kijijini mwa rais wakati hakuna sababu za msingi, Hiyo mbuga ndio kwanza wanaweka wanyama, manake wamefosi tu. Serengeti inayojulikana duniani kote hakuna kiwanja cha ndege cha kimataifa, kwanini chato-burigi?
Kiuchumi,kijamii na kimantiki swali hili ni gumu kujibiwa!!!Hatuwezi kukubali hasara hii kubwa ya kujenga uwanja wa kimataifa wa ndege kijijini mwa rais wakati hakuna sababu za msingi, Hiyo mbuga ndio kwanza wanaweka wanyama, manake wamefosi tu. Serengeti inayojulikana duniani kote hakuna kiwanja cha ndege cha kimataifa, kwanini chato-burigi?
Chato imegeuka kuwa Chatu, imemeza njukulu za taifa kupitia maamuzi ya tata na siri ya mtu, mjombae na mume mwenza.
Magufuli anatakiwa awajibishwe na wananchi wote wa Tanzania kwa umoja wao bila kujali kabila, dini, jinsia nk. Ikumbukwe kuwa kila Mtanzania ameibiwaKuna watu maji yako shingoni ,punzi zimeshaisha wanatamani kupiga kura iwe kesho, wamezidiwa kila kona ,wamepanic mno.
Walikuwa wanafanya kampeni wenyewe miaka 5 huku wamebinya wengine.
Wamekalia kuti kavu ,mbuyu unadondoka mda wowote .
Mbinu iliyobaki ni kuiba kura au kufuta uchaguzi ila zamu hii hamtoki.
Tar 28 kila mtu ana jambo lake
Wafanyakazi tuna jambo letu,
Waliokosa ajira tuna jambo letu,tulioliwa Rambirambi na kejeli tuna jambo letu,wazee wa pension tuna jambo letu .
Mnajaza wasanii bado nyomi sawa na ya mgombea ambaye yuko peke yake.
Pangeni vizuri mbinu ya uwizi au kufuta matokeo zamu hii hamtoki siyo yule lowasa wa zungusha ngumu halafu hana hoja.