Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Mkuu kuna elimu yabure hasa Tanzania?Mi naona hata asingefanya kitu kingine chochote, Elimu Bure tu inatosha kumrudisha Ikulu.
Huku ni kupoteza muda, hawa watoto watarudi shule ukubwani.
Waalinu hawana moyo wa kufundisha, wana mazingira magumu.
Tynaendesha nchi kisiasa itatugharimu sana