LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mtapika propaganda zoteee. Ila lisu wenu hatopata ata kula 1000. Mda utaongeaa. Mnatengeneza kiki hapa mwanza na geita halafu mnajicheka wenyeweee, mikutano yote ya mwanza na geitaaa tupoo hapooo hata yale makiki ya usikuuu na taa hata sisitulikuwemo kwenyee huo ukumbi. Hapa mwanza pia tupoooNionavyo kadiri siku zinavyoenda Mgombea wa urais kupitia CHADEMA ndio gumzo kila kona nchini, CCM imekuwa Iko bize kujibu Sera za Tundu Lissu. Huyu mwamba anaeleweka ukimsikiliza na ukiyapima maelezo yake ni ukweli mtupu.
Alichokonoa vitambulisho vya wajasiriamali, CCM wiki Sasa wanapambana KUUHARIBU ukweli Lakin wameshachelewa, hawaelewek labda warudishe 20000/= za wajasiliamali walizojitwalia kibabe ndio itakuwa suruhu.
Elfu ishirini hazirudishwiiii, zaidi zinakiwa ziwe laki moja kwa kila mjasiliamali. Ilikuongeza pato la taifaa. Huyo mzeee wa kiiki, kama anawadanganya kwamba hamtolipa kodi kwaa ajili ya maendeleo, anawarubuniii,Rudisha 20 alfu za watu bro, watu wakuelewe kama na wewe ni mshirika.
Watanzania wamewakataa wote kwa sababu wamewachoka wote. Kila anyesukumiziwa madaraka baada ya miaka mitano ni wa hovyo kuliko aliyemtangulia. Halafu walivo wapuuzi, wanang'ang'ania madaraka huku uwezo hawana na kwa miaka karibu 60 wameweza kulididimiza hili taifa lililojaaliwa kwa kila kitu. Safari hii tusifanye makosa, tuhakikishae genge hili linatoweka kabisa.Watu wameikataa CCM au wamemchoka Magufuli?
Hao MGAMBO walikuwa wanatumwa na CUF? Kwa hiyo ili kuzuia ukatili wao hakukuwa na njia nyingine zaidi ya kukamua wananchi 20000/- ambayo kuishika kwa pamoja na mtihani? Hao MGAMBO walikuwa wanajituma au kuna mamlaka ilikuwa inawatuma? Au hujui MGAMBO haohao ndo waliotumika kusaka wasio na vitambulisho vya 20000/- hadi kufikia Mama Ntilie mwenye watumishi 2 kulipa 60000/- yeye na Watumishi wake ili Mkuu wa Wilaya amalize vitambulisho maana ukipewa 10000 lazima uvimalize hata kama una wafanyabiashara wadogo 3000 tu. Msijisahaulishe kwamba baadhi ya Halmashauri watumishi walikatwa 20000 kwenye mishahara yao kulipia vitambulisho vya ujasiriamali!!!Wewe kunauwezekano Wazazi wako hawajawahi kukutana na kipigo cha Mgambo wa jiji na liwe jiji linaliongozwa na hao unaowasikiliza
anashinda kwa kukaa na tume badala ya kufanya campaignZipo historia nyingi Rais Magufuli anaenda kuziweka kwani tarehe 28 anaenda kuwashinda Wapinzani wake ambao ni picha(Image and puppets) za mabeberu.
Ushindi wa Magufuli Oktoba 28 utakuwa ni ushindi wa wana Africa.
Thread hii ibakie kwa ajili ya kufunza vizazi vijavyo.
Mimi ni mwana CCM Magufuli hata angegombea na mbwa ningempigia kura mbwaNionavyo kadiri siku zinavyoenda Mgombea wa urais kupitia CHADEMA ndio gumzo kila kona nchini, CCM imekuwa Iko bize kujibu Sera za Tundu Lissu. Huyu mwamba anaeleweka ukimsikiliza na ukiyapima maelezo yake ni ukweli mtupu.
Alichokonoa vitambulisho vya wajasiriamali, CCM wiki Sasa wanapambana KUUHARIBU ukweli Lakin wameshachelewa, hawaelewek labda warudishe 20000/= za wajasiliamali walizojitwalia kibabe ndio itakuwa suruhu.
Huu ndio mwezi wa mwisho wa kuwa RaisiHuyu anaenda kushindishwa na tume sio umma, muda wote Yuko Live na TV na maredio, wenzake hawapewi hiyo favour.binafsi namchukia sana Jpm kwa kuvunja haki za watu tofauti na tulivyotarajia mwaka 2015 wakati anaingia madarakani.Binafsi nilimpa kura.
Wamechelewa.Lumumba kunawaka moto
Dalili ni kubwa sana kwa mh mtukufu kuongoza awamu moja,tofauti na watangulizi wake. Tujiulize je, mh amejianda kisaikolojia kwa matokeo haya?Raisi wa kwanza kuongoza kipindi kimoja