LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kinachoiponza ccm ni ubabe na kiburi, wao ubinafsi umewajaa hatari.wanatumia vyombo vya dola kubaki madarakani. Hakuna kitu kinachowakera watanzania ccm kujipendelea na kunyima haki za watu.Kwa mfano kutumia jeshi La polis na tume kukandamiza wapinzani wao.Watu wengi wanasema watainyima ccm kura kwa hayo.