dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Sasa huyu mzee tutampiga marufuku kwenye kampeni maana haiwezekani tumuweke jana tu leo uanze kututibua.Nimeshangaa Sana baada ya Polepole kumkaribisha mzee Butiku ameanza kwa kuuliza wanafunzi waliohudhuria mkutano wanyooshe mikono na nusu ya waliohudhuria wamenyosha mikono wengine wakiwa ndani ya nguo za shule.
Vipi huko Makambako kwani wanafunzi wako likizo? Au Leo Ni Kuna holiday huko?
Nani Ccm? Jibu swali je swaga kama hizi zitasaidia Cdm?Yaani kusema kuwa siyo vizuri kupeleka watoto wadogo kwenye kampeni tena kwenye jua kali na kutoka ni hadi kampeni iishe jioni wewe unaita ni swaga?!CCM mna nini lakini?
Hahahahahha!!!Mwalimu wa uraia Magu anakipindi cha pamoja leo
Wewe ni muongo Butiku hayupo hapa makambako!Nimeshangaa Sana baada ya Polepole kumkaribisha mzee Butiku ameanza kwa kuuliza wanafunzi waliohudhuria mkutano wanyooshe mikono na nusu ya waliohudhuria wamenyosha mikono wengine wakiwa ndani ya nguo za shule.
Vipi huko Makambako kwani wanafunzi wako likizo? Au Leo Ni Kuna holiday huko?
Li "ccm" lilojivika gwanda la ukamanda. HovyooooSwaga kama hizi zinakisaidia Cdm?
Hampendi kuambiwa ukweli.Li "ccm" lilojivika gwanda la ukamanda. Hovyoooo
Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Hamna, Butiku alikuwa anapeleka ujumbe kwa Magufuli na tumeshtukia. Tunamtimulia mbali tubaki na Pinda wetu anayeijua siri ya jeshi!Nafikiri lengo la Butiku ilikua kuwaprove wrong akina Lissu akapatikana yeye!!
Aibu nimeona mimi!!
Wewe ni mamluki dhaifu kutoka chama mfu-CCM!Nani Ccm? Jibu swali je swaga kama hizi zitasaidia Cdm?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Li "ccm" lilojivika gwanda la ukamanda. Hovyoooo
Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Basi aliyeuliza asiwe Butiku. Cha msingi mmejaza wanafunzi. Iringa ndio ilikuwa kufuru kabisa.Wewe ni muongo Butiku hayupo hapa makambako!
Madhara ya kutokupenda ukweli.Wewe ni mamluki dhaifu kutoka chama mfu-CCM!
Tuwe waweli,hawa ni watoto?Wewe ni mamluki dhaifu kutoka chama mfu-CCM!
Wewe kamanda usiechoka kutoka CCM hawa ni watu wazima?Tuwe waweli,hawa ni watoto?View attachment 1584327
Njombe hapo? Acha kurukarukaWewe kamanda usiechoka kutoka CCM hawa ni watu wazima?View attachment 1584336View attachment 1584337
Kwa hiyo kama siyo njombe siyo tatizo?!Kamanda usiechoka kutoka CCM unaelewa tunajadili na kulaani kitu gani lakini?Njombe hapo? Acha kurukaruka
Kamanda usiechoka kutoka CCM tujikite kwenye mada.Kitendo cha CCM kunyanyasa watoto wadogo kwa kuwashindisha kwenye jua kali kwenye kampeni zao kwa kigezo cha kuongeza vichwa,je hii ni halali?Naomba ujiheshimu,mimi sipo Ccm nasema ukweli.
Watoto ni taifa la keshoKamanda usiechoka kutoka CCM tujikite kwenye mada.Kitendo cha CCM kunyanyasa watoto wadogo kwa kuwashindisha kwenye jua kali kwenye kampeni zao kwa kigezo cha kuongeza vichwa,je hii ni halali?