Hiyo fiesta ya bule itawajaza chadema mimba ndo mtajua kumbe ilikua na athali kubwa.Mikutano.au fiesta ya bure?[emoji23][emoji23]
Mtajuta tu, si mlikuwa mnadhani ninyi ndo wababe huko.Nasikia wameshusha bendera zote za Chadema chini ya usimamizi Polisi, wanambeya wanawatazama tu.
Kwani kura ni mabavu au Sera na kukubalika kwa mgombea? Sasa unadhani kuchana mabango ya wagombea wa upinzani na kushusha bendera zao ndio kukubalika! Ccm ndio watajuta Mimi sina chama ni mshabiki wa haki popote pale ilipo haki nashabikia ila sio ujinga unaofanywa na ccm.Mtajuta tu, si mlikuwa mnadhani ninyi ndo wababe huko.
Sera ya chadema ni ipi, uhuru na haki?Kwani kura ni mabavu au Sera na kukubalika kwa mgombea? Sasa unadhani kuchana mabango ya wagombea wa upinzani na kushusha bendera zao ndio kukubalika! Ccm ndio watajuta Mimi sina chama ni mshabiki wa haki popote pale ilipo haki nashabikia ila sio ujinga unaofanywa na ccm.
Uhuru ni kuchana mabango na kushusha bendera za mpinzani wako huo ndio Uhuru.au wewe Uhuru unajua ni yule Rais wa Kenya?Sera ya chadema ni ipi, uhuru na haki?
Sasa hiyo inamaanisha nini maana kila haki na uhuru vina mipaka yake sasa ninyi uhuru wenu ni upi?
Story za 2015 bado tunazikumbuka ndo maana cmpi kura yangu. Nakumbuka milioni 50 kila kijiji.
We endelea kusikiaNasikia wameshusha bendera zote za Chadema chini ya usimamizi Polisi, wanambeya wanawatazama tu.
Nasikia wameshusha bendera zote za Chadema chini ya usimamizi Polisi, wanambeya wanawatazama tu.
We mtu gani anachukiwa kila Kona dah hii sijawahi ona na ndio maana wanatumia nguvu kubwa mno kumfanya apendwe. Ni Kama too late.Yaani ametengeneza upinzani wa aina yake kwa miaka 5 sasa hawezi kureverse.Ila kama ajajifunza basi kweli yeye ni jiwe
Hatuja kusikia,ongeza sauti.Mshukuruni JPM, Bashiru , Polepole etc. Kuwaokoa wanaCCM na adha ya kubeba jezi zao kwenye mifuko ya rambo na wakina mama kwenye tupochi twa pimajoto.
Washukuruni polisi walivyoua na kutishaMshukuruni JPM, Bashiru , Polepole etc. Kuwaokoa wanaCCM na adha ya kubeba jezi zao kwenye mifuko ya rambo na wakina mama kwenye tupochi twa pimajoto.
We mtu gani anachukiwa kila Kona dah hii sijawahi ona na ndio maana wanatumia nguvu kubwa mno kumfanya apendwe. Ni Kama too late.