Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Basi Magufuli afukuze mabalozi wa mabeberu na afunge ubalozi kwenye nchi za mabeberu kama kweli anamaanisha au ni ndoto za kukojoa chooni wakati unakojoa kitandani
 
Tanzania kama taifa tumeshapiga hatua ya kuweza kujitegemea na hatimaye kufanikiwa kuingia katika uchumi wa kati tukiwa miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika.

Kamwe tusiruhusu kuongozwa na Rais anayedekadeka kwa wazungu, atauza nchi.

Nawatakia Jumaa karim.

Maendeleo hayana vyama!
Mawazo ya kijima,ya kijamaa. Unaweza vipi kuendelea pasipo kushirikiana na mabeberu. Madikteta, wajamaa awawapendi wazungu sababu awataki kusikia kitu kinaitwa haki, demokrasia,hivi vinawabana vinawazuia kutesa,kuuwa watu,kuibia watu.The Hague na kunyimwa misaada ndio kiwarudishacho Hawa watawala dhalimu nyuma
 
Hakuna mtanzania anayejitambua atakaa amchague Rais dhalimu kama Meko.

Tunataka ustawi wetu uimarike awamu hii. Yaambieni madaraja na ndege vimchague huyo dikteta wenu.
Kamwe hatutaiweka nchi yetu mikononi mwa mawakala wa mabeberu!
 
Bwashee vp leo umeamka nayo? mana kuna wakat kidogo ulionekana una akili hapo za kisoda
Tanzania kama taifa tumeshapiga hatua ya kuweza kujitegemea na hatimaye kufanikiwa kuingia katika uchumi wa kati tukiwa miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika.

Kamwe tusiruhusu kuongozwa na Rais anayedekadeka kwa wazungu, atauza nchi.

Nawatakia Jumaa karim.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hakuna mtanzania anayejitambua atakaa amchague Rais dhalimu kama Meko.

Tunataka ustawi wetu uimarike awamu hii. Yaambieni madaraja na ndege vimchague huyo dikteta wenu.
Hizi ndo hakili za upizani. Kama unashindwa kufanya kaz bas subili serkali ikuletee pesa
 
Back
Top Bottom