Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya kijima,ya kijamaa. Unaweza vipi kuendelea pasipo kushirikiana na mabeberu. Madikteta, wajamaa awawapendi wazungu sababu awataki kusikia kitu kinaitwa haki, demokrasia,hivi vinawabana vinawazuia kutesa,kuuwa watu,kuibia watu.The Hague na kunyimwa misaada ndio kiwarudishacho Hawa watawala dhalimu nyumaTanzania kama taifa tumeshapiga hatua ya kuweza kujitegemea na hatimaye kufanikiwa kuingia katika uchumi wa kati tukiwa miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika.
Kamwe tusiruhusu kuongozwa na Rais anayedekadeka kwa wazungu, atauza nchi.
Nawatakia Jumaa karim.
Maendeleo hayana vyama!
Kamwe hatutaiweka nchi yetu mikononi mwa mawakala wa mabeberu!Hakuna mtanzania anayejitambua atakaa amchague Rais dhalimu kama Meko.
Tunataka ustawi wetu uimarike awamu hii. Yaambieni madaraja na ndege vimchague huyo dikteta wenu.
Dunia sio ya baba yake atafurushwa siku hio hioBasi Magufuli afukuze mabalozi wa mabeberu na afunge ubalozi kwenye nchi za mabeberu kama kweli anamaanisha au ni ndoto za kukojoa chooni wakati unakojoa kitandani
Wananchi ndo wenye maamuziKamwe hatutaiweka nchi yetu mikononi mwa mawakala wa mabeberu!
Tanzania kama taifa tumeshapiga hatua ya kuweza kujitegemea na hatimaye kufanikiwa kuingia katika uchumi wa kati tukiwa miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika.
Kamwe tusiruhusu kuongozwa na Rais anayedekadeka kwa wazungu, atauza nchi.
Nawatakia Jumaa karim.
Maendeleo hayana vyama!
Kuna tofauti kati ya kushirikiana na kudeka.Basi Magufuli afukuze mabalozi wa mabeberu na afunge ubalozi kwenye nchi za mabeberu kama kweli anamaanisha au ni ndoto za kukojoa chooni wakati unakojoa kitandani
Utashirikiana vipi na Mabeberu!Kuna tofauti kati ya kushirikiana na kudeka.
Usipanic bwashee!
Umeshapanic meku!Haya kamchague anayedeka kwa mama yako.
Win Win situation!Utashirikiana vipi na Mabeberu!
Hizi ndo hakili za upizani. Kama unashindwa kufanya kaz bas subili serkali ikuletee pesaHakuna mtanzania anayejitambua atakaa amchague Rais dhalimu kama Meko.
Tunataka ustawi wetu uimarike awamu hii. Yaambieni madaraja na ndege vimchague huyo dikteta wenu.
Atoke Kabisa Pepo MchafuPepo mchafu mtoke huyu mtu
Kwa Sauti Ya Jiwe!😀😁Win Win situation!
Napata mtori bwashee...... Tukijiandaa kwenda kwa Pompeo!Bwashee vp leo umeamka nayo???mana kuna wakat kidogo ulionekana una akili hapo za kisoda