HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Uzuri was Magu hachaguiNi ukweli ulio wazi CCM imechokwa na watanzania lakini sio kwa haraka hivi. Watu wangeendelea kukivumilia kwa Mambo makubwa aliyofanya mh rais magufuli only if Kama angekuwa na hulka ya Kikwete...
Ukikosea hata Kama NI ccm anakugeukia tu
mamboii ya ubebana yalishapitwa na wakati