frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Jitambue tumefika uchumi wa kat bila mabeberuMawazo ya kijima,ya kijamaa.
Unaweza vipi kuendelea pasipo kushirikiana na mabeberu.
Madikteta, wajamaa awawapendi wazungu sababu awataki kusikia kitu kinaitwa haki, demokrasia,hivi vinawabana vinawazuia kutesa,kuuwa watu,kuibia watu.The Hague na kunyimwa misaada ndio kiwarudishacho Hawa watawala dhalimu nyuma
Ndo kiingereza mlichofundishwa na Beberu Jeusi hicho. Hata hujui maana yake. Wacha porojoWin Win situation!
Prof Ndumilakuwili atatuuza!Kwa Sauti Ya Jiwe!ππ
Kwa Mawazo yako finyuMeko ni IDD AMINI wa Tanzania
Wewe ndio unajua meku!Ndo kiingereza mlichofundishwa na Beberu Jeusi hicho. Hata hujui maana yake. Wacha porojo
Hizi ndo hakili za upizani. Kama unashindwa kufanya kaz bas subili serkali ikuletee pesa
Meku baba yako anayeomba kusuguliwa na SuguWewe ndio unajua meku!
Kumbuka tuko uchumi wa kat bila mabeberu,nyie komaeni na wazungu wenuTanzania ndio tunayoihitaji dunia na si dunia inatuhitaji sisi.
Mind you wewe kada usiye na malipo maalumu.
BeelzebuliAtoke Kabisa Pepo Mchafu
Endelea kuota..!Kumbuka tuko uchumi wa kat bila mabeberu,nyie komaeni na wazungu wenu
Umeshapanic meku!Meku baba yako anayeomba kusuguliwa na Sugu
Usipanic braza,, komaeni na wazungu wenu lakn mkumbuke wanachowafanyia huko"hakili" ndo uchafu gani. Hivi nyie maCCM ni nani kawaroga?
Huyo wa kwenu siyo kuwa hawapendi wazungu. Tatizo ni kwamba ataongeaje nao? People used to die inze reki.....Tanzania kama taifa tumeshapiga hatua ya kuweza kujitegemea na hatimaye kufanikiwa kuingia katika uchumi wa kati tukiwa miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika.
Kamwe tusiruhusu kuongozwa na Rais anayedekadeka kwa wazungu, atauza nchi.
Nawatakia Jumaa karim.
Maendeleo hayana vyama!
Utauzwaje KiongoziProf Ndumilakuwili atatuuza!
πππ πππππNgumbaro!!!Huyo wa kwenu siyo kuwa hawapendi wazungu. Tatizo ni kwamba ataongeaje nao? People used to die inze reki.....
Kwani wachina na wazungu wanaongeaje?!Huyo wa kwenu siyo kuwa hawapendi wazungu. Tatizo ni kwamba ataongeaje nao? People used to die inze reki.....
Uchumi wa Kati Hali hata uwezo wa kujenga choo huna unategemea wazungu wakujengee.Huwezi ukatenganisha dikteta na propaganda, future less people Kama nyie ndio marafiki wa madikteta sababu ni rahisi kuwapropaganda.Jitambue tumefika uchumi wa kat bila mabeberu