frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Jitambue tumefika uchumi wa kat bila mabeberuMawazo ya kijima,ya kijamaa.
Unaweza vipi kuendelea pasipo kushirikiana na mabeberu.
Madikteta, wajamaa awawapendi wazungu sababu awataki kusikia kitu kinaitwa haki, demokrasia,hivi vinawabana vinawazuia kutesa,kuuwa watu,kuibia watu.The Hague na kunyimwa misaada ndio kiwarudishacho Hawa watawala dhalimu nyuma