Kazi kubwa aliyofanya kwa miaka minne na ushehe
ikikamilika msianze kuchukuia anapofunguaHivi ile sgr ya Dar to Moro alisema inakamilika Nov. 2019 kwa nini haijakamilika hadi leo?
Wewe siku hizi umehamia kwenye upumbavu na ndege zenu hizoKazi kubwa aliyofanya kwa miaka minne na ushehe.
Ujenzi wa miundombinu ya barabara
SGR
ununuzi wa ndege
elimu bure
ujenzi wa vituo vya afya
kuwashughulikia mafisadi
ujenzi wa meli mpya
treni kuabza kazi baada ya miaka 30
Tembo kuongezeka
uboreshaji wa mapato
kupunguza vifo vya albino na vikongwe
ajali za mabasi kupungua
ununuzi wa ndege
TTCL kurejea
pato la madini kukua na udhibiti wa rasilimali
Kupambana na covid 19
kuondoa kero kwa wamachinga
kuondia kero ya bodi ya mikopo vyuo vikuu
elimu bure
n.k
Bado natafakari njia ambayo Magufuli ataitumia kushinda uchaguzi huu sioni ni ipi.
Mbinu zote za NEC zinamulikwa 24/7 wako monitored.
Mbinu zote za baadhi ya police wanaotaka kusaliti umma ziko under control.
Mbinu zote za kunakili namba za vitambulisho hazotaruhusiwa kufanya kazi siku ya uchaguzi na mawakala wa upinzani watakaokuwakila kituo na watakuwa monitored.
Wazee ndani ya system wamegoma kutumika kubariki uvunjifu wa Katiba na sheria.
Wazee ndani ya chama wamesusa kabisa hawataki lawama
Jeshi siku zote ni la Wananchi na kamwe haliwezi kuwasaliti watanzania.
Umoja wa mataifa wanataka uchaguzi huru na haki.
Marekani anaunguruma kila uchao anataka uchaguzi huru na haki
Umoja wa ulaya wanataka uchaguzi huru na haki.
Sasa najiuliza anachomokea wapi huyu mtu uchaguzi huu?
Sioni mwisho mwema wa CCM ya Magufuli Polepole na Bashiru.
HayaRais Magufuli atashinda
sihaweka ulaghai nimeweka takwimu za kweliWewe siku hizi umehamia kwenye upumbavu na ndege zenu hizo
Staili ile ile kama ya serikali za mitaa ataiboresha kidogo.Bado natafakari njia ambayo Magufuli ataitumia kushinda uchaguzi huu sioni ni ipi.
Mbinu zote za NEC zinamulikwa 24/7 wako monitored.
Mbinu zote za baadhi ya police wanaotaka kusaliti umma ziko under control.
Mbinu zote za kunakili namba za vitambulisho hazotaruhusiwa kufanya kazi siku ya uchaguzi na mawakala wa upinzani watakaokuwa kila kituo na watakuwa monitored.
Wazee ndani ya system wamegoma kutumika kubariki uvunjifu wa Katiba na sheria.
Wazee ndani ya chama wamesusa kabisa hawataki lawama
Jeshi siku zote ni la Wananchi na kamwe haliwezi kuwasaliti watanzania.
Umoja wa mataifa wanataka uchaguzi huru na haki.
Marekani anaunguruma kila uchao anataka uchaguzi huru na haki
Umoja wa ulaya wanataka uchaguzi huru na haki.
Sasa najiuliza anachomokea wapi huyu mtu uchaguzi huu?
Sioni mwisho mwema wa CCM ya Magufuli Polepole na Bashiru.
Hujajibu swaliikikamilika msianze kuchukuia anapofungua
Tumeshamuandalia ile dreamliner kumrudisha chato na familia yake hapo NovemberBado natafakari njia ambayo Magufuli ataitumia kushinda uchaguzi huu sioni ni ipi.
Mbinu zote za NEC zinamulikwa 24/7 wako monitored.
Mbinu zote za baadhi ya police wanaotaka kusaliti umma ziko under control.
Mbinu zote za kunakili namba za vitambulisho hazotaruhusiwa kufanya kazi siku ya uchaguzi na mawakala wa upinzani watakaokuwa kila kituo na watakuwa monitored.
Wazee ndani ya system wamegoma kutumika kubariki uvunjifu wa Katiba na sheria.
Wazee ndani ya chama wamesusa kabisa hawataki lawama
Jeshi siku zote ni la Wananchi na kamwe haliwezi kuwasaliti watanzania.
Umoja wa mataifa wanataka uchaguzi huru na haki.
Marekani anaunguruma kila uchao anataka uchaguzi huru na haki
Umoja wa ulaya wanataka uchaguzi huru na haki.
Sasa najiuliza anachomokea wapi huyu mtu uchaguzi huu?
Sioni mwisho mwema wa CCM ya Magufuli Polepole na Bashiru.
Tanazania na watanzania vumemkataa Magufuli. Hata yeye anajua hilo.wanabodi, najaribu kufuatilia yanayoendelea ccm, ukifuatilia na kutafakari utagundua kua kinachofanywa na ccm kwa mgombea uraisi majukwaani syo kampeni bali ni matamasha ya music na nyimbo za mapambio.
Nasema hivi kwa kua ukiangalia watu wanaanza kuondoka mara mziki na mapambio vinapomalizika,
Najiuliza.
1.Hivi wanamuziki wasingeshiriki, je mikutano ingekua na mvuto?
2.Je, ccm isingekua ndo serikali wangeweza kusomba watu toka maeneo tofauti kuja mkutanoni wakiwemo walimu na wanafunzi wao?
Mada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu.
Agosti 25, 2020
M/Kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM.
UPDATE:-