SawaHakika kazi zilizosimamiwa na Dk. Magufuli kwa maendeleo yaliyofanywa nchini ndani ya miaka mitano ni kubwa sana.Ilani ya CCM ya uchaguzi 2015-2020 imetekelezwa ipasavyo kwa kishindo.
Tusibeze maendeleo haya. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni huyu mzee.
Ukiwaza kufa hautafanya chochoteTake a hypothetical situation, Amekufa leo, nini kitafuata na miradi hiyo?
Nafasi za ajira kwa waalimu wa sanaa ni ndogo sana, kila shule ya sekondari unakuta imejaa walimu wa sanaaTunataka ajira miradii baki nayo
NDIYO ANGEMUUNGA MKONO MAGUFULI - Ni ingeshindikana asingewapa uongozi Chadema. Kama ambavyo alirudia rudia mpaka CCM ipasuke ndio upinzani utakuwepo nchi hii....
Kwa sasa system hiyo haipo na itachukua karne zijazo kwani kwa sasa chama tawala kinazidi kuimarika kupitia Mwenyekiti wetu JPM ambaye pia ni Rais wa Nchi yetu.
Tunamuombea kwa Mungu ili aendelee kuimarisha CCM ili iwe imara zaidi na hayo unayoyatamani yasitokee kabisa.
Kwa hiyo baada ya miaka 5 kama bado hajamaliza miradi (kumbuka ataanzisha mingine), tutengue katiba ili tumpe mitano tena au tuondoe ukomo? Naona umejifunga goli tu.
Enzi zake hakuwa mkandamizaji ?
Sisi wadogo kiumri huwa tunaambiwa Magufuli anafanana sana na Nyerere, sema tu magufuli hana speech sensible kama za nyerere
Watanzania wengi tuta mpa kura kwa mara nyingine tena.Miaka yote tangu 1995 Viongozi wa Dini wamekuwa ni waangalizi wa uchaguzi.Utawala huu wa mkono wa Chuma umewatupilia mbali.
Jiwe aanze kuhama ikulu mapema.
Amekataliwa kila kona.
Watanzania wengi hatumtaki.
Ana Sera gani zaidi ya kuomba mke Kila anakoenda?Mgombea urais wa CCM siku ya Ijumaa ataitikisa Dar kwa mikutano kabambe na ya kisayansi.
Mzizima kaeni tayari kupokea madini ya " ukweli "
Source: Uhuru
Wewe ndio humtaki,ila sio watanzania wote. Mbowe na genge lake nani anawataka?. Vibaraka wa beberu nani anashida na nyie?.Miaka yote tangu 1995 Viongozi wa Dini wamekuwa ni waangalizi wa uchaguzi.Utawala huu wa mkono wa Chuma umewatupilia mbali.
Jiwe aanze kuhama ikulu mapema.
Amekataliwa kila kona.
Watanzania wengi hatumtaki.
dunga dungaAna Sera gani zaidi ya kuomba mke Kila anakoenda?
Pamoja mkuu!Asante kwa taarifa.