Kingdom Finder
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 1,119
- 1,391
ajaliwa hatumuoni hapo?!Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea
Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki
Kumbe bira wasanii hata Magufuli Hana watu.View attachment 1555613
Na bado ! halafu inasemekana huyu hata kwao watu hawamtaki kabisa , ndio maana wagombea wa vyama vingine walitekwaTuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea
Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki
Kumbe bira wasanii hata Magufuli Hana watu.View attachment 1555613
Angalia ukali wa maneno..Je maneno hayo angesema mwingine(vyama vya upinzani) wewe au watu wa mtazamo wako huwa munasema matusi!Rais yupo sahihi kabisa. Hata maandiko yanasa.hivyo
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea
Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki
Kumbe bira wasanii hata Magufuli Hana watu.View attachment 1555613
Kupanga uzazi ni mbinu ya mabeberu kupunguza idadi ya watu weusi duniani...Hayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu.
"Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo."
Toa maoni je ni kweli kupanga uzazi hakuna maana kama wataalamu wanavyo shauri, hii siyo mara ya kwanza Magufuli kuwaambia watanzania kuwa zaeni, msipange uzazi.
Ukipata majibu naomba unishirikishe na mimiMheshimiwa Dr. Magufuli Rais wa Tanzania tunaomba majibu yako juu ya hoja za wapinzani kuwa umeminya Uhuru na haki za Watanzania kwa maslahi yako binafsi na chama chako CCM. Chaguzi zilizopita wapinzani waliomba kura kwa wananchi kwa kuwaahidi maendeleo na kuahidi kupigana na ufisadi uliofanywa na viongozi wa CCM, lakini mwaka huu wapinzani wanaahidi maendeleo na kuwaahidi Uhuru na haki .
Hata makaburu wa south Africa walileta maendeleo ya juu sana, Mimi binafsi nimesoma A- level shule iliyojengwa na Wazungu, na O-level pia nimesoma shule iliyojengwa na Wazungu pia. Wakoloni pia walileta maendeleo kwa kiasi chao. Lakini akina Nyerere walidai Uhuru.
Jibu la maendeleo hayana chama halitutoshi sisi tunaojua historia. Sisi ambao tumesoma historia na kufaulu vizuri A- level tunajua jinsi Waingereza walileta maendeleo America lakini Waamerika hawajaruhusu US. liwe koloni la kudumu la Uingereza.
Tunaomba majibu ili wananchi wajue kuwa Uhuru na haki vipo kila mahali na zile za wapinzani ni kelele mfu .
Hili alishalisema ila Leo kaliboresha.Wanawake wageuzwe incubator za kuzalishia watoto kwa sababu manyonyo wanayo na watia mimba wapo hivyo watu wasifuate uzazi wa mpango
HahaahaaHakuna Watu, hao ni Nzige?.
Wakitoka huko mwisho wa siku wanadai kudhulumiwa au kutolipwa...Mmambo ya kusomba wasanii nchi nzima , na kuhamisha watu kutoka dodoma, kupita manyoni hadi singida mjini... Kinachotakiwa ni lori tu kutoishiwa mafuta...