Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Angejua black Tax tunayolipa inavyotuumiza wengine. Baba ana watoto nane na ametangulia anaacha mama na watoto wote hao. Unakuta ni wa kwanza peke yake ametoboa. Anakuwa na kazi ya kuwatunza wadogo zake 7 pamoja na mama. Kweli leo unatuambia tuzae wakati hata chama chako kimeshindwa kutoa ajira. mwisho wa siku ni kulana sisi kwa sisi na kuzalisha majambazi na ukahaba kuongezeka.
"Black tax" is a term used to describe young black people who share their salary with immediate and extended family.
 
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea

Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki

Kumbe bila wasanii hata Magufuli Hana watu.


Ni aibu mwaka huu hata mama Samia naye kakosa watu kisa kulikuwa hakuna malori ya kuwasomba

 
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea

Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki

Kumbe bira wasanii hata Magufuli Hana watu.View attachment 1555613
Na bado ! halafu inasemekana huyu hata kwao watu hawamtaki kabisa , ndio maana wagombea wa vyama vingine walitekwa
 
Kupanga uzazi ni mbinu ya mabeberu kupunguza idadi ya watu weusi duniani...
 
Ukipata majibu naomba unishirikishe na mimi
 
Kila apambane na hali yake, anayeuza haki ya ushoga kwa kuita haki ya faragha aendelee na anayeuza sera za kuboresha miundombinu aendelee, wananchi tutamchagua mzalenda, kibaraka wa mabeberu tutamuachia aende kugombea Kenya na Belgium.
 
Mmambo ya kusomba wasanii nchi nzima , na kuhamisha watu kutoka dodoma, kupita manyoni hadi singida mjini... Kinachotakiwa ni lori tu kutoishiwa mafuta...
Wakitoka huko mwisho wa siku wanadai kudhulumiwa au kutolipwa...
Baadhi wamejilipa kwa ubunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…