Kingdom Finder
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 1,119
- 1,391
Angejua black Tax tunayolipa inavyotuumiza wengine. Baba ana watoto nane na ametangulia anaacha mama na watoto wote hao. Unakuta ni wa kwanza peke yake ametoboa. Anakuwa na kazi ya kuwatunza wadogo zake 7 pamoja na mama. Kweli leo unatuambia tuzae wakati hata chama chako kimeshindwa kutoa ajira. mwisho wa siku ni kulana sisi kwa sisi na kuzalisha majambazi na ukahaba kuongezeka.
"Black tax" is a term used to describe young black people who share their salary with immediate and extended family.
"Black tax" is a term used to describe young black people who share their salary with immediate and extended family.