Wanao bwebwa na malori hupewa mshiko. Sasa kwenye box kuna mshiko?Ni ukweli ulio wazi Magufuli akijitahidi atapata kura za vijijini ,ila kwenye miji asahau kabisa ,majiji makubwa ndo usiseme hatapata kura kabisa.
Watu wa mjini wataamua nani aingie ikulu mwaka huu,
Kwahiyo wajiandae kupata kura za wanaobebwa na malori
wanapewa mshiko sawa mbona manyara juzi wamewaleta kutoka wilaya za karibu halafu wakawaacha hadi leo michango midogo inaendelea kuwarudisha makwaoWanao bwebwa na malori hupewa mshiko. Sasa kwenye box kuna mshiko?
Na huko ndiko kuna kura nyingi, sasa nyie komaeni mijini na chadema yenu halafu Daktari msomi profesa mnyenyekevu mjeuri meko akishinda mseme mmeibiwa.Ni ukweli ulio wazi Magufuli akijitahidi atapata kura za vijijini ,ila kwenye miji asahau kabisa ,majiji makubwa ndo usiseme hatapata kura kabisa.
Watu wa mjini wataamua nani aingie ikulu mwaka huu,
Kwahiyo wajiandae kupata kura za wanaobebwa na malori
Kama vile vijiji vyote umeishi.Hata vijijini tutampiga pini,
kule bukoba alituiaita watu wa ngono, ukimwi na katerero, akatunyima misaada tuliyochangiwa na ndugu zetu
simiyu alituambia tufe
na njaa hatoi chakula Cha msaada,
kule manyara Alisema watoto wetu wa kike wanaopata mimba hakuna Kurudi shule
Kule mtwara alituita kagomba wezi na kupora korosho zetu. Pia akatutishia kuwapiga shangazi zetu.
Hata sisi Wana vijiji tumemkataa
Endeleeni kujipa moyo wenzenu wananfanya mikutano zaid ya kumi na tano per day ww unafanya mkutano mmoja afu unajipa moyo...Ni ukweli ulio wazi Magufuli akijitahidi atapata kura za vijijini ,ila kwenye miji asahau kabisa ,majiji makubwa ndo usiseme hatapata kura kabisa.
Watu wa mjini wataamua nani aingie ikulu mwaka huu,
Kwahiyo wajiandae kupata kura za wanaobebwa na malori
Tuendelee na lectureIdara zote ametia mfukoni sioni mwenye uthubutu wa kutangaza tofauti na mfalme anavyohitji, so kuangushwa sio sasa.
hamna kipya zaidi ya singeliEndeleeni kujipa moyo wenzenu wananfanya mikutano zaid ya kumi na tano per day ww unafanya mkutano mmoja afu unajipa moyo...
Wapige kura wafikie uwashawishi wakuunge mkono sio mnakuja hapa jf mnajipa moyo tuu...
Ingieni hata huko vijijini mkatafute kura unaposema wavijijini tuu ndo watampa magu kura thats mean hamtaenda kufanya kampeni huko?
Miji mikubwa unayorefer ni ipi ndugu?
Na hapo ndipo mnapokosea this is not a dream buddy. U have to fight race ili mshinde, bila kupita huko mkanadi sera zenu hamtapata kura za ushindi...hamna kipya zaidi ya singeli
Endeleeni kujidanganya... Huku jf mbona mshashinda.... Wenzenu wako field wanatafuta kura...Mboga Mboga kwa sasa hawana mvuto hata huko vijijini, wajiandae kuachia nchi.
✌✌
MATAGA mwisho wenu umefika.Endeleeni kujidanganya... Huku jf mbona mshashinda.... Wenzenu wako field wanatafuta kura...
Sio kila unaemuona humu ni mwana ccm buddy.... Mwisho wa ccm sio simple kama mnavyo jidanganya humu....MATAGA mwisho wenu umefika.
Keshapanga kuibaNa huko ndiko kuna kura nyingi, sasa nyie komaeni mijini na chadema yenu halafu Daktari msomi profesa mnyenyekevu mjeuri meko akishinda mseme mmeibiwa.
Hao wa mjini ni akina nani? Wavuta bangi na wanywa konyagi?Ni ukweli ulio wazi Magufuli akijitahidi atapata kura za vijijini ,ila kwenye miji asahau kabisa ,majiji makubwa ndo usiseme hatapata kura kabisa.
Watu wa mjini wataamua nani aingie ikulu mwaka huu,
Kwahiyo wajiandae kupata kura za wanaobebwa na malori