MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
DaaahMimi nimefanikiwa kupanda flyover ya Ubungo nikiwa kwenye mwendokasi kwa nauli ya Sh 650 tu. Sijawahi kupanda ndege yeyote wala bombadia ya Magufuli.
Sijui wangapi mmepanda flyover na bombadia za Magufuli?
Maendeleo hayana chama