Parvovirus
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 268
- 188
wa chatoHao wa mjini ni akina nani? Wavuta bangi na wanywa konyagi?
Wavuta bangi/msuba aka ganja kina wema sepetuWasanii wenyewe kina Mbasha wanaokatana mitama jukwaani
Mkuu unaishi kwenye vijiji vyote hivyo?Hata vijijini tutampiga pini,
kule bukoba alituiaita watu wa ngono, ukimwi na katerero, akatunyima misaada tuliyochangiwa na ndugu zetu
simiyu alituambia tufe
na njaa hatoi chakula Cha msaada,
kule manyara Alisema watoto wetu wa kike wanaopata mimba hakuna Kurudi shule
Kule mtwara alituita kagomba wezi na kupora korosho zetu. Pia akatutishia kuwapiga shangazi zetu.
Hata sisi Wana vijiji tumemkataa
Tigha kughamba ombhurongo musaghane onuCCM itapata kura nyingi sana kwenye majiji ya Dodoma, Mza na Dar.. Yani kwa sasa Dar ni CCM na CCM ni Dar.. Ukishashinda kwenye haya majiji matatu, tayari umeshachukua nchi!
Vipi hizo bangi leo umevuta za Iringa au za Wapi mkuu?Ni ukweli ulio wazi Magufuli akijitahidi atapata kura za vijijini ,ila kwenye miji asahau kabisa ,majiji makubwa ndo usiseme hatapata kura kabisa.
Watu wa mjini wataamua nani aingie ikulu mwaka huu,
Kwahiyo wajiandae kupata kura za wanaobebwa na malori
Unadhani nyumbu wana akili? Yaache ajidanganye menyeweNa huko ndiko kuna kura nyingi, sasa nyie komaeni mijini na chadema yenu halafu Daktari msomi profesa mnyenyekevu mjeuri meko akishinda mseme mmeibiwa.
Nipo hapa chimbo navuta na mama yako anaenjoy sanaVipi hizo bangi leo umevuta za Iringa au za Wapi mkuu?
Hao unaowaita nyumbu wana nafuu kuliko wewe husiyejitambua hadi unatia huruma.Unadhani nyumbu wana akili? Yaache ajidanganye menyewe
Kweli cdm ina wajinga unavuta bangi na mama yangu wakati yeye siku nyongi anakula bata Na YESU.!!Nipo hapa chimbo navuta na mama yako anaenjoy sana
Wote waondoke tu hawatakiwiHabari wakuu!
Je , tuiondoe serikali ya CCM tumwache Magufuli aendelee kutuongoza?
Je, tuiache CCM ila Magufuli aondoke serikalini?
Je, CCM iondoke pamoja na Magufuli, au both CCM and Magufuli should remain in power?.
Tuwekane sawa hapa kwa hoja.