Magu ameleta mambo ya hovyo sana Tanzania tumekuwa watu wanaofanya mambo kienyeji. Kosa lake jingine ni kutaka kuwaweka watanzania wote mfukoni hatukubali udikteta huu. Yeye na ccm waondoke mara moja.Habari wakuu!
Je , tuiondoe serikali ya CCM tumwache Magufuli aendelee kutuongoza?
Je, tuiache CCM ila Magufuli aondoke serikalini?
Je, CCM iondoke pamoja na Magufuli, au both CCM and Magufuli should remain in power?.
Tuwekane sawa hapa kwa hoja.
Materia material.Tanzania kwasasa inamuhitaji Sana rais Magufuli kuliko kitu chochote kile.
Ni Bora tuipoteze CCM,CDM,ACT na n.k Ila Magufuli abaki he is a predential material.
Utakuwa na usaha kichwani mwako sio bure,MTU hajali watu maisha yamekuwa magumu utadhani Tupo kipindi cha nyerere au mwinyi.Tanzania kwasasa inamuhitaji Sana rais Magufuli kuliko kitu chochote kile.
Ni Bora tuipoteze CCM,CDM,ACT na n.k Ila Magufuli abaki he is a predential material.
Hadi na Maendeleo ya watu? Nimecheka sasa nimeelewa ujinga wa Chadema kwa hiyo ndio maana hamkujenga ofisi ya makao makuu.Kwa Hiyo kufanya kazi kwenye kile kijumba kisicho na madirisha makubwa kilichojaa joto ndani yale ndio Maendeleo ya watu?
Kwa hiyo chadema wafanyakazi wenu wameendelea kwa kufanya kazi mazingira kama yale? Na ni haki kwao?
AHAHAHAHAHAUtakuwa na usaha kichwani mwako sio bure,MTU hajali watu maisha yamekuwa magumu utadhani Tupo kipindi cha nyerere au mwinyi.
Tena alikataza msemo wa vyuma vimekaza.Utakuwa na usaha kichwani mwako sio bure,MTU hajali watu maisha yamekuwa magumu utadhani Tupo kipindi cha nyerere au mwinyi.
Wasepe woteHabari wakuu!
Je , tuiondoe serikali ya CCM tumwache Magufuli aendelee kutuongoza?
Je, tuiache CCM ila Magufuli aondoke serikalini?
Je, CCM iondoke pamoja na Magufuli, au both CCM and Magufuli should remain in power?
Tuwekane sawa hapa kwa hoja.
Waongea matopeTanzania kwasasa inamuhitaji Sana rais Magufuli kuliko kitu chochote kile.
Ni Bora tuipoteze CCM,CDM,ACT na n.k Ila Magufuli abaki he is a predential material.
Bashite hayupo tena madarakaniSumu ndio nyoka mwenyewe
Waondoke wote
Magufuli ccm bashiru samia pole pole majaliwa na Mwinyi +makonda,gambo na chalamila
Umeua mkuuSumu ndio nyoka mwenyewe
Waondoke wote
Magufuli ccm bashiru samia pole pole majaliwa na Mwinyi +makonda,gambo na chalamila
Presidential mateyTanzania kwasasa inamuhitaji Sana rais Magufuli kuliko kitu chochote kile.
Ni Bora tuipoteze CCM,CDM,ACT na n.k Ila Magufuli abaki he is a predential material.
Huyu mbaguzi?Tanzania kwasasa inamuhitaji Sana rais Magufuli kuliko kitu chochote kile.
Ni Bora tuipoteze CCM,CDM,ACT na n.k Ila Magufuli abaki he is a predential material.
Tanzania kwa sasa ina muhitaji sana kupata kiongozi kama Lissu, na Mungu ashukuriwe tumempata rais LissuTanzania kwasasa inamuhitaji Sana rais Magufuli kuliko kitu chochote kile.
Ni Bora tuipoteze CCM,CDM,ACT na n.k Ila Magufuli abaki he is a predential material.
Hawa wote kwa umoja wao hawafaiHabari wakuu!
Je , tuiondoe serikali ya CCM tumwache Magufuli aendelee kutuongoza?
Je, tuiache CCM ila Magufuli aondoke serikalini?
Je, CCM iondoke pamoja na Magufuli, au both CCM and Magufuli should remain in power?
Tuwekane sawa hapa kwa hoja.
Cha kuongezea sio tu waondoke madarakani, duniani kabisa! Hatutaki kubaki na alama yoyote, ni aibu kwa kizazi kijacho
Mkoloni mweusi hatakiwi kabisa dunia ya sasaCha kuongezea sio tu waondoke madarakani, duniani kabisa! Hatutaki kubaki na alama yoyote, ni aibu kwa kizazi kijacho