Toa go ahead basiTume iamue inataka uchaguzi ufanyike au usifanyike, sisi tumejiridhisha katika majimbo yetu yote 62 ya ubunge, wagombea wetu wamejaza fomu sawasawa na hakuna mgombea ambaye amekose chochote".Zitto Kabwe.
Wananchi wazalendo tunasubiri go ahead tu.
Ni ushauri mzuri kwa magu wana ccm mwambieni aende chattle akalale awaache wapinzani wapige kampeni ategemee aliyofanya miaka 5 atashinda akiwa amelala October.Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.
Wacha tukamilishe ratiba tu ndugu. Wapinzani watasubiri Sana.Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.
Kama kweli hulipwi basi utakuwa na tatizo la msingi kam EtwegeKwa mapenzi ya Tz tunajituma silipwi na mtu, wagombea wako wakifikisha 10% kwa pamoja njoo uchukue zawadi.
Wadanganye CCM waache kampeni ili lissu awanyoosheMagufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.
Hizi ni dalili mbaya kwenye chama hiki kikongwemawazo yao yapo kwa wasanii
Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.