Gogovivu45
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 229
- 133
siko tayari kunajisi uelewa wangu.It does'nt matter cha msingi ni kuongea kwenye jamii yenye watu wengi changanyikeni.chadema mnatafuta visababu visivyo na maana ni sawa na yule aliyekuwa anaogopa kupigana na jamaa kisa tuu jamaa kavaa viatu.
haukuwa muda wa kampeni ule mkuu.. fuatilieni mambomtu hajui sheria mnampeleka wapi sasa
Jana tu alikuwa anasema kuwa Rorya kuna ukabila yaani Lissu ameweza hii nchi sasa ni nyeupe inataka kurudi kwa wenyewe
Kwa hiyo Wakazi wote wa Mwanza ni Wasukuma?? Ninyi ndiyo mnaosababisha haya mambo ya kipuuzi yanayofanywa na Bw. Yule. Badala ya kukemea arudi kwenye mstari mnapotosha kwa kumpamba kwa maneno ya kipuuzi. Huko mbeleni tusilaumiane.
Nhiiiiiiiiii...nacheka kimagufuli kabisa ππ....emb jaribu.wale waliomzomea wamemchanganya kabisa leo. yani huyu jamaa dawa yake ndogo sana watu wakiingia barabarani wiki moja anakimbia nchi.
Kwa hiyo Wakazi wote wa Mwanza ni Wasukuma?? Ninyi ndiyo mnaosababisha haya mambo ya kipuuzi yanayofanywa na Bw. Yule. Badala ya kukemea arudi kwenye mstari mnapotosha kwa kumpamba kwa maneno ya kipuuzi. Huko mbeleni tusilaumiane.
Hoja yangu ilikuja baada ya andiko lako la kwanza, lisome urudie uone jinsi ulivyomtuhumu JPM kuendesha kampeni kwa kisukuma! Tena ukamuuliza aliyeanzisha thread kua yeye alitaka kuelewa ahadi iliyotelewa ili nini (ya siri?) Ili nini ? Au ni wivu? Narudia hakuna cha siri kilichotolewa. Kuhusu kutembea, nimetembea, tena kwenye campign nchi nzima na hatukuhitaji kuzungumza kilugha, na hutosikia JPM akiongea kilugha eti ili apate ushawishi. Tumewatambua mapandikizi, na tutawaumbua na kuwarekebisha tukitumai mtarudi kwenye mstari au muonyeshe rangi zenu halisi.Kuna Sera na Ilani.. Sera za chama Cha Mapinduzi Ni sera zinaendelea kuinfluence utendaji wa Serikali mpaka kufikia leo kwenye uchumi wa Kati. Sera huandaliwa na wataalamu wabobezi wa maswala ya kisera na ninachokwambia ni kuwa sera zote huwa ni njema uzisome Ukipata wakati. Kinachotofautisha CCM na wengine Sisi CCM sera zetu zinatekelezeka na tunao mfumo thabiti wa kuzitekeleza tangu Uhuru.
Manifesto au Ilani ni tangazo la hizi sera nzuri tulizo nazo. It's a marketing documi ya sera zetu.. na wakati wa kipindi Cha Kampeni tunachofanya ni kuzinadi.. kuonesha zetu ni Bora kuliko za wengine that's it.. hence ushawishi. Na hapa ndipo tunaendelea kufanya vyema zaidi maana tunazungumza na Watanzania wote hata wasiojua Kiswahili lengo ni wote waisikia na wazielewe ahadi na sera zetu.
Hoja yangu kwa mtoa Mada ilikuwa Kama watu was mwanza walioko mkutanoni hawajalalamika kwann yeye aliyeko mile 500 mbali Ndiye alalamike!? Na nikaonya huu sio ufikishaji ujumbe ni propaganda tu. Sasa bwana Abou ni kipi wewe unashindwa kuelewa ?
"Mwisho, narudia kusisitiza kuwa JPM hajahutubia kwa kilugha, alisalimia kwa kilugha, hajatoa AHADI MAALUM YA SIRI kwa wazungumzaji wa kisukuma,AMESALIMIA kwa kilugha."
Hapa nashindwa kukuelewa.. wewe unachokataa ni Nini.. maana Mimi mwenyewe nimeomba mleta mada anipe video inayomuonesha Mh. Dkt. JPM akizungumza kisukuma mwanzo mpaka mwisho..maana siamini Kama ipo.. wewe unataka nini!? Au husomi hizi reply kwa utulivu!?
Mwisho Uamuzi wa kuniita pandikizi au kuamini vyovyote ni wako... CCM inaendesha serikali huru na tunapromote Uhuru wa fikra pia.. despite the picture painted by many in this platform.. Ninaomba Nitumia fursa hii Kumuombea Mwenyekiti wangu wa chama na Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi ya CHAMA CHA MAPINDUZI Dkt. John Magufuli kura ya Ndiyo ([emoji3581]) kutoka kwako bwana abou
Narudia Tena: Kiswahili Kuna mahali hakijulikani (Nakushauri tembea)
Na Sheria Inaruhusu kuzungumza Kilugha ilimradi awepo mkalimani na kama inahitajika.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa!Hoja yangu ilikuja baada ya andiko lako la kwanza, lisome urudie uone jinsi ulivyomtuhumu JPM kuendesha kampeni kwa kisukuma! Tena ukamuuliza aliyeanzisha thread kua yeye alitaka kuelewa ahadi iliyotelewa ili nini (ya siri?) Ili nini ? Au ni wivu? Narudia hakuna cha siri kilichotolewa. Kuhusu kutembea, nimetembea, tena kwenye campign nchi nzima na hatukuhitaji kuzungumza kilugha, na hutosikia JPM akiongea kilugha eti ili apate ushawishi. Tumewatambua mapandikizi, na tutawaumbua na kuwarekebisha tukitumai mtarudi kwenye mstari au muonyeshe rangi zenu halisi.
Nilidhani Mwalimu kafuta ukabila, kwani aliubakisha?Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Bring counter analysisPoor analysis!!!!
Mvuto unaudefine vipi?Nashukuru kujua umeshakubali CCM kama chama cha siasa hakina tena mvuto Tanzania, kimeshachakaa,
Duuh,huo ndio utetezi wako?Aisee!Usitofokee bana, mbona kaka yako alivyokuwa kwao singida alionge kinyiramba hakuna mtu aliyelialia kama nyie.
Kama unashangiliwa na watu 1000 ukapata 50% ya kura zao sio sawa kushangiliwa na watu 50Kila anae kushangilia usifikiri anakupenda. Wengine wanakusubiri ili uingie kwenye tisini zao.
ala kumbe. basi sawa.Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.