Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

nawewe ni ccm mkuu?
Kwa hiyo Wakazi wote wa Mwanza ni Wasukuma?? Ninyi ndiyo mnaosababisha haya mambo ya kipuuzi yanayofanywa na Bw. Yule. Badala ya kukemea arudi kwenye mstari mnapotosha kwa kumpamba kwa maneno ya kipuuzi. Huko mbeleni tusilaumiane.
 
wale waliomzomea wamemchanganya kabisa leo. yani huyu jamaa dawa yake ndogo sana watu wakiingia barabarani wiki moja anakimbia nchi.
Nhiiiiiiiiii...nacheka kimagufuli kabisa 😂😂....emb jaribu.
 
Kwa hiyo Wakazi wote wa Mwanza ni Wasukuma?? Ninyi ndiyo mnaosababisha haya mambo ya kipuuzi yanayofanywa na Bw. Yule. Badala ya kukemea arudi kwenye mstari mnapotosha kwa kumpamba kwa maneno ya kipuuzi. Huko mbeleni tusilaumiane.

Kamanda pole sana kasalimia kwa lugha zote
 
Kuna Sera na Ilani.. Sera za chama Cha Mapinduzi Ni sera zinaendelea kuinfluence utendaji wa Serikali mpaka kufikia leo kwenye uchumi wa Kati. Sera huandaliwa na wataalamu wabobezi wa maswala ya kisera na ninachokwambia ni kuwa sera zote huwa ni njema uzisome Ukipata wakati. Kinachotofautisha CCM na wengine Sisi CCM sera zetu zinatekelezeka na tunao mfumo thabiti wa kuzitekeleza tangu Uhuru.

Manifesto au Ilani ni tangazo la hizi sera nzuri tulizo nazo. It's a marketing documi ya sera zetu.. na wakati wa kipindi Cha Kampeni tunachofanya ni kuzinadi.. kuonesha zetu ni Bora kuliko za wengine that's it.. hence ushawishi. Na hapa ndipo tunaendelea kufanya vyema zaidi maana tunazungumza na Watanzania wote hata wasiojua Kiswahili lengo ni wote waisikia na wazielewe ahadi na sera zetu.

Hoja yangu kwa mtoa Mada ilikuwa Kama watu was mwanza walioko mkutanoni hawajalalamika kwann yeye aliyeko mile 500 mbali Ndiye alalamike!? Na nikaonya huu sio ufikishaji ujumbe ni propaganda tu. Sasa bwana Abou ni kipi wewe unashindwa kuelewa ?

"Mwisho, narudia kusisitiza kuwa JPM hajahutubia kwa kilugha, alisalimia kwa kilugha, hajatoa AHADI MAALUM YA SIRI kwa wazungumzaji wa kisukuma,AMESALIMIA kwa kilugha."

Hapa nashindwa kukuelewa.. wewe unachokataa ni Nini.. maana Mimi mwenyewe nimeomba mleta mada anipe video inayomuonesha Mh. Dkt. JPM akizungumza kisukuma mwanzo mpaka mwisho..maana siamini Kama ipo.. wewe unataka nini!? Au husomi hizi reply kwa utulivu!?

Mwisho Uamuzi wa kuniita pandikizi au kuamini vyovyote ni wako... CCM inaendesha serikali huru na tunapromote Uhuru wa fikra pia.. despite the picture painted by many in this platform.. Ninaomba Nitumia fursa hii Kumuombea Mwenyekiti wangu wa chama na Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi ya CHAMA CHA MAPINDUZI Dkt. John Magufuli kura ya Ndiyo ([emoji3581]) kutoka kwako bwana abou

Narudia Tena: Kiswahili Kuna mahali hakijulikani (Nakushauri tembea)

Na Sheria Inaruhusu kuzungumza Kilugha ilimradi awepo mkalimani na kama inahitajika.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hoja yangu ilikuja baada ya andiko lako la kwanza, lisome urudie uone jinsi ulivyomtuhumu JPM kuendesha kampeni kwa kisukuma! Tena ukamuuliza aliyeanzisha thread kua yeye alitaka kuelewa ahadi iliyotelewa ili nini (ya siri?) Ili nini ? Au ni wivu? Narudia hakuna cha siri kilichotolewa. Kuhusu kutembea, nimetembea, tena kwenye campign nchi nzima na hatukuhitaji kuzungumza kilugha, na hutosikia JPM akiongea kilugha eti ili apate ushawishi. Tumewatambua mapandikizi, na tutawaumbua na kuwarekebisha tukitumai mtarudi kwenye mstari au muonyeshe rangi zenu halisi.
 
Hoja yangu ilikuja baada ya andiko lako la kwanza, lisome urudie uone jinsi ulivyomtuhumu JPM kuendesha kampeni kwa kisukuma! Tena ukamuuliza aliyeanzisha thread kua yeye alitaka kuelewa ahadi iliyotelewa ili nini (ya siri?) Ili nini ? Au ni wivu? Narudia hakuna cha siri kilichotolewa. Kuhusu kutembea, nimetembea, tena kwenye campign nchi nzima na hatukuhitaji kuzungumza kilugha, na hutosikia JPM akiongea kilugha eti ili apate ushawishi. Tumewatambua mapandikizi, na tutawaumbua na kuwarekebisha tukitumai mtarudi kwenye mstari au muonyeshe rangi zenu halisi.
Nimekuelewa!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.

Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.

Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Nilidhani Mwalimu kafuta ukabila, kwani aliubakisha?
 
Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana, tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa. Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura Magufuli.
 
Nashukuru kujua umeshakubali CCM kama chama cha siasa hakina tena mvuto Tanzania, kimeshachakaa, na hao vijana siku ya kupiga kura wote huchagua upinzani ndio maana kila wakati nyie mnaiba kura tu.
 
Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
ala kumbe. basi sawa.
nilidhani "tumeweza tumeteleza" ndiyo chambo ya kura.

kweli nimeamini Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako!
 
Mimi nilijua vijana wameona utendaji kazi wa JPM,kumbe unamaana wasanii ndio chambo ya vijana kumpigia kura!!😁😁😁
Mataga wenzako kwenye hili watapita tu bila kutia neno,unamuaibisha JPM!
 
🤣🤣🤣 mataga masikini kumbe ndiyo mnavyojidanganya?

Yani mamilioni ya vijana wanaosota mtaani kwa kukosa ajira waichague CCM kwasababu tu sholo Mwamba kaimba nyimbo za CCM na kumpigisha magoti mgombea wenu jukwaani????

Come on Comrade you can not be serious!
 
Back
Top Bottom