Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
re: Lijuakali "jinsi tulivyoiba kura"
Bila figisu hamtoboi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila figisu hamtoboi
Nuclear grade upupuukifuatilia kampeni zinazo endelea haswa za wagombea urais utabaini kuna baadhi ya wagombea tayari wamesha tepeta au kwa lugha nyepesi wamesha choka, ila utabaini kuwa japo magufu anatumia sana usafiri wa gari na kampeni za mkoa kwa mkoa wilaya kwa wilaya lk bado anaonekana ana energy/nguvu ya kutosha kila anapo pita...
JK alishawahi kukionya cha chake kuhusu kutegemea sana mbeleko la vyombo vya dola.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na ukweli lazima tuuseme hadharani, CCM ina hali mbaya na inazidi kuwa tete kila uchao.
Wamejaribu kutumia viongozi wa dini kusifu na kuabudu juhudi, ngoma imegoma. Alichokipata PM huko alikoenda wote tumeona na hata mikutano ya mama isiyokuwa na wasanii tunaona hali ilivyo tete...
Hakuna mtu wa kushindana na JPM,isipokua kwa kua wengine wako kwenye kutafuta maisha wapate chochote kwenye ruzuku, acha waendelee kujitafutiaukifuatilia kampeni zinazo endelea haswa za wagombea urais utabaini kuna baadhi ya wagombea tayari wamesha tepeta au kwa lugha nyepesi wamesha choka, ila utabaini kuwa japo magufu anatumia sana usafiri wa gari na kampeni za mkoa kwa mkoa wilaya kwa wilaya lk bado anaonekana ana energy/nguvu ya kutosha kila anapo pita...
Aombe radhi mwenyewe tena haraka. Vinginevyo atashukiwa kama mwewe na kuaibika sanaJamani tumsitiri bwana. Ni mama yetu huyu bwana,alighafirika tuu[emoji3]
Hata mimi nikwambie tu ukweli kwamba una ukipofu na hauoni chochote cha maanaMsema kweli ni mpenzi wa Mungu na ukweli lazima tuuseme hadharani, CCM ina hali mbaya na inazidi kuwa tete kila uchao...
huo ni ukweli uko wazi tu sio lazima uwe kibaraka.Hatuwezi kupata jambo lenye manufaa kutoka kwa kibaraka wa lumumba kama wewe zaidi ya kusifia
kosa la mama ni kutomung'unya maneno tu.Kaharibu sana kuhusu shambulio LA Lissu.
Sijui alipatwa na nini hadi kutamka vile wakati ni mama mpole na mwenye huruma. Hata akivua hijab anaonekana ni mtulivu na kama alivyosema Magufuli ni mweupe na mzuri. [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1561200
Kwani nani kasema DAB dume la mbegu? Hata kuchezea mzigo tuu ni kashfa. Mbona tunachokozana tuseme? Shauri yenu!kosa la mama ni kutomung'unya maneno tu.
watu kwa stress za kujua ushindi kwenye uchaguzi mwaka huu ni mdogo sana, kuna wabunge 3 tu kambi rasmi,basi wamemua kujifariji na mapicha hayo.
kama leo hii DAB kageuka dume la mbegu, hakuna maajabu utaacha kuyasikia chadema.
Ukifuatilia kampeni zinazoendelea haswa za wagombea urais utabaini kuna baadhi ya wagombea tayari wameshatepeta au kwa lugha nyepesi wamesha choka, ila utabaini kuwa japo magufu anatumia sana usafiri wa gari na kampeni za mkoa kwa mkoa wilaya kwa wilaya lk bado anaonekana ana energy/nguvu ya kutosha kila anapo pita...
Pumzi yake anaijua disii wa kiss a rawe banaa!Ukifuatilia kampeni zinazoendelea haswa za wagombea urais utabaini kuna baadhi ya wagombea tayari wameshatepeta au kwa lugha nyepesi wamesha choka, ila utabaini kuwa japo magufu anatumia sana usafiri wa gari na kampeni za mkoa kwa mkoa wilaya kwa wilaya lk bado anaonekana ana energy/nguvu ya kutosha kila anapo pita...