Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Ni fahari sana kudharauliwa na mtu wa Chadema, nitakosa amani siku Rais Magufuli akiniambia ananidharau, Kwasababu yeye ndiye Mzalendo namba moja

Chadema insyotumika na Wazungu wakinidharau Nafura
Ukiacha ukhanithi utakuwa raia mwema sana
 
Mwingine anaweza kusema mwaka 2015 alitumia nguvu kubwa na akapita maeneo mengi kwa sababu kazi ilikuwa ngumu hata matokeo ya Uraia yalisadifu hilo.

Mwaka huu kazi ni nyepesi mno, kila mtu anaona kinachotokea, mwitikio wa Raia kwake na kwa wapinzani wake. ACT wameshanyosha mikono, CHADEMA ndiyo Kama hivo, Juzi uliona Raia wa pwani Kama vile hawamjui, Jana Morogoro mjini umeona hali mwenyewe, kule Mheza ilikuwa aibu. Hata Makamanda tangu Mlivyoposti picha za Mbeya, hamjaposti tena, utafikiri Mgombea wenu yupo likizo naye.

Sasa kwa namna hiyo kwanini asipumzike Budha. Game imekuwa nyepesi mno.

Kama umegundua, wanachokifanya CCM baada ya uhakika wa Kushinda, ni kuhakikisha mtu anapata kipigo cha mbwa koko, hicho ndicho kinachofanyika kwa Sasa.
 
Ingawa ni mgombea, bado pia ni Rais wa nchi kwa hiyo hawezi kutumia muda wote kwenye kampeini na kusahahau majukumu ya uraisi. Halafu kama angekuwa na woga, ndipo angekuwa anafanya kampeini usiku na mchana lakini kwa vile hana hofu basi anaweza kuchukua time-off ili kufanya mambo mengine.

October 28 ndiyo fainali.
 
Mkuu hoja ni Magufuli kupumzika baada ya kuchemsha
 
haikuhusu wewe nenda kashangae chopa
 
endeleeni kutunga uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…