Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Mheshimiwa Dr. Magufuli Rais wa Tanzania tunaomba majibu yako juu ya hoja za wapinzani kuwa umeminya Uhuru na haki za Watanzania kwa maslahi yako binafsi na chama chako CCM. Chaguzi zilizopita wapinzani waliomba kura kwa wananchi kwa kuwaahidi maendeleo na kuahidi kupigana na ufisadi uliofanywa na viongozi wa CCM, lakini mwaka huu wapinzani wanaahidi maendeleo na kuwaahidi Uhuru na haki .
Hata makaburu wa south Africa walileta maendeleo ya juu sana, Mimi binafsi nimesoma A- level shule iliyojengwa na Wazungu, na O-level pia nimesoma shule iliyojengwa na Wazungu pia. Wakoloni pia walileta maendeleo kwa kiasi chao. Lakini akina Nyerere walidai Uhuru.
Jibu la maendeleo hayana chama halitutoshi sisi tunaojua historia. Sisi ambao tumesoma historia na kufaulu vizuri A- level tunajua jinsi Waingereza walileta maendeleo America lakini Waamerika hawajaruhusu US. liwe koloni la kudumu la Uingereza.
Tunaomba majibu ili wananchi wajue kuwa Uhuru na haki vipo kila mahali na zile za wapinzani ni kelele mfu .
Wewe umekosa uhuru gani?
 
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea

Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki

Kumbe bila wasanii hata Magufuli Hana watu.


Ni aibu mwaka huu hata mama Samia naye kakosa watu kisa kulikuwa hakuna malori ya kuwasomba

View attachment 1555613
Bado mapema sana hio picha

In fact watu wapo!
 
Tatzo mnapiga picha wakati bado mkutano haujaanza ndio kwanza watu wanaanza kukarbia .
Ulitakiwa baada ya kuandika ulichokiandika ulete picha iliyopigwa kwenye hatua za kufunga mkutano.

Akili ndogo mna shida sana.
 
Uvccm kwa sasa hivi wamehamia kwenye kushindanisha umahiri wa kucheza SINGELI baada ya mgombea wao kuwaruka kwenye sera na kujikuta anaongelea kugongana bila kinga.
 
Kila akizungumza utasikia Ndege, reli, stiglaz .... ! "Tumeibiwa sana, nchi yetu ni tajiri" na blaa blaa kibao!
Aache ujinga
Tumeibiwa na nani sasa wakati yeye alikuwepo serikalini tangu wakati wa mkapa na ameshiriki kusaini hiyo mikataba ya kinyonyaji.
 
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea

Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki

Kumbe bila wasanii hata Magufuli Hana watu.


Ni aibu mwaka huu hata mama Samia naye kakosa watu kisa kulikuwa hakuna malori ya kuwasomba

View attachment 1555613
Unapiga picha kutumia techno kimeo ukiwa mbali maili 100,pathetic
 
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea

Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki

Kumbe bila wasanii hata Magufuli Hana watu.


Ni aibu mwaka huu hata mama Samia naye kakosa watu kisa kulikuwa hakuna malori ya kuwasomba

View attachment 1555613
Huu mkutano wa kijiji cha wapi?!
 
Mimi nahisi alikuwa na shauku ya kutaja matiti tu. Hivi kweli tuzaliane kwa sababu matiti yapo!! Yani haya matiti yamekuwa kama embe tu sasa!
 
Naona mstaafu yupo zake msoga anawwhadhitia wajukuu zake sherehe ya utopolo ilivyofana
 
Back
Top Bottom