MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Mwenye nafasi ya kushinda ghafla ni Mh. Membe afu anafuatia Lisu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakimbilia nchi gani?Jirani aliyebakia ni Urundi pekee,kwa mabeberu hawezi kupokelewa hivyo nchi atakayoweza kimbilia pengine Chattle.wale waliomzomea wamemchanganya kabisa leo. yani huyu jamaa dawa yake ndogo sana watu wakiingia barabarani wiki moja anakimbia nchi.
SureHuu ni wkt mwafaka wa kuwaondoa ccm....... Wanazidi kuharibu nchi yetu nzuri
Jiwe leo kapandwa na jazba jukwaani ww wafikiri ni kwanini?? Kashashindwa kwenye kampeni. Sasa hivi ni mwendo wa Ukabila na Vitisho. Navyo vitashindwa.Katika uchaguzi ambao wapinzani watapigwa vibaya mnoo na ccm ni huu wa mwaka 2020 kwa sababu wapinzani bila nguvu ya ukawa hawawezi kushindana na ccm.
Hebu fikiria uchaguzi 2015 ambao uliwapa wapinzani wabunge wengi,madiwani wengi sababu ya nguvu ya ukawa
Leo hii ACT,CHADEMA,CUF,NCCR kila chama kinasimamishq mgombea wake wa uraisi ubunge udiwani alafu mnategemea mtashinda kweliii
Yaani upinzani wamekaa mahakamani, polisi na magerezani miaka mitano yote ila wana furaha, vicheko. CCM wana makasiriko, shuruba, ghadhabu, nyongo na bado washajipitisha bila kupingwa sehemu kadhaa; sijui wanashida gani.Hhhahahaa Ila huyu jamaa ni zumbukuku na mwoga eh...eti anasema ni kma umeweka chakula Cha mwanao ukaja ukawapa majirani...Sasa ole wenu mchague majirani..anaumwa huyu jamani ...kuwatisha watu namna hii jaman utadhani sio nchi yao!!...
Magufuli acha kutisha watanzania wewe! Rudi nchi yako😒😏
M
sheria ya uchaguzi inasemaje kuhusu kutumia lugha zisizo rasmi kwenye kampeni za uchaguzi,
Magu ni mtanzania kweli ?Hhhahahaa Ila huyu jamaa ni zumbukuku na mwoga eh...eti anasema ni kma umeweka chakula Cha mwanao ukaja ukawapa majirani...Sasa ole wenu mchague majirani..anaumwa huyu jamani ...kuwatisha watu namna hii jaman utadhani sio nchi yao!!...
Magufuli acha kutisha watanzania wewe! Rudi nchi yako😒😏
M
Aisee kumbe ndio tafsiri yake? Asante kwa kutufungua macho. Huyu bwana hafai kuwa kiongozi nadhani hata hapo kwenye mkutano wamemshangaa.Hhhahahaa Ila huyu jamaa ni zumbukuku na mwoga eh...eti anasema ni kma umeweka chakula Cha mwanao ukaja ukawapa majirani...Sasa ole wenu mchague majirani..anaumwa huyu jamani ...kuwatisha watu namna hii jaman utadhani sio nchi yao!!...
Magufuli acha kutisha watanzania wewe! Rudi nchi yako[emoji19][emoji57]
M
Wanasema baba muhutu mama msukumaMagu ni mtanzania kweli ?
[emoji38] [emoji38] ni afadhali ujue mbivu na mbichi kabla hujachukua maamuzi yako.Nani amchague huyo anaesema msipochagua ccm mtajuta. Hatulazimishwii. CCM labda itumie NGUVU kupita watanzania hatutakubalii.
Atimuliwee tu maana anataka kuliingiza taifa letu kwenye machfuko kwa gharama zozote.Wanasema baba muhutu mama msukuma
Jamani huu ujinga wa kuota mchana utaisha lini ?Jiwe leo kapandwa na jazba jukwaani ww wafikiri ni kwanini?? Kashashindwa kwenye kampeni. Sasa hivi ni mwendo wa Ukabila na Vitisho. Navyo vitashindwa.
Huo siyo ukweli ni ujinga na ulimbukeni wa madaraka .najuta kumpa kura yangu mwaka 2015[emoji38] [emoji38] ni afadhali ujue mbivu na mbichi kabla hujachukua maamuzi yako.
magu hauwezi unafiki, anakuchana kabisa. saaa kachague mtu kisa amenyoa vyema pank, utajua hujui.
Sio kila mkazi wa mwanza ni msukuma!Kuweni na uelewa,mnatia kinyaa kwa hii tabia yenu ya kutstea kila jambo!Subiri akija kanda yako unayoishi ataongea lugha unayotaka wewe,sio lazima umfatilie kwenye mitandao na media.