Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nimeamini kabisa kuwa ccm sasa imebakia midomoni tuHata Tanga, Rahaleo, Tashrif, Ratco (kabla haijafa), Simba Mtoto na mabasi mengine mengine mengi , hata malori mbona ndiyo huwa kazi yao ya kukusanya watu. Wanajua fika kuwa wamekataliwa, hivyo hukusanya watu. Wakimaliza huwa wanawatelekeza uwanjani !
Sent using Jamii Forums mobile app