Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Hebu wana jamvi kwa kifupi tu tujaribu kujifanya kama tuko na mheshimiwa JPM tuna mshauri kitu cha kufanya ili watu wawe na furaha kama wanavyosema hawana furaha hebu tumshauri afanye nini maana tusiwe tunalaumu tu huku hatujui afanye nini ili mambo yaende vizuri kwa watu haya tuanze kujadiri

jf
Mcheki Faizafox na uzi wake kuhusu hicho unachotaka tujadili. Kila kitu kipo huko.
 
Inafanana na mitusi mliyokuwa mkimtukana EL?
Waliozunguka Tanzania nzima na mihelocopita wakimwita fisadi, Si mlikua nyie wenyewe?

Waliokaa pale mwembe yanga waka muweka kwenye ile list of shame, simlikua nyie wenyewe?

Unafikiri watu wamesahau?
 
Mcheki Faizafox na uzi wake kuhusu hicho unachotaka tujadili. Kila kitu kipo huko.
Watu mtakuaje nafuraha, hukumkishinda mitandaoni kazi hamfanyi?

Watu mtakuaje na furaha nawakati wazazi wenu wamefukuzwa kazi kwa vyeti fekii?

Watu mtakuaje na furaha nawakati madili yamezuiliwaaa?

Watu mtakuaje na furaha nawakati lango lenu kuuu la kupitishia dawa za kulevya limefungwaa?

Watu mtakuaje na furaha na wakati vya dezo havipooo?
 
Upatikanaji wa Dawa Mhimu 42%(2015) 94.5% (2020)
Maji safi vijijini 47%(2015) 70% 2020
Maji safi mjini 74%(2015) 85% (2020)
Pato la mwananchi 1.9 mil (2015) 2.4mil (2018)
Idadi ya Viwanda 52633(2015) 61110(2020) ongezeko la 16.1%
JPM 5+
Jpm 5+
Jpm 5+
IMG-20200907-WA0428.jpg
 
Mbona hizo ajira kila bajeti, huwa zinatoka? Mwezi juzi madaktari wameajiliwa hukusikia?
Kwa hiyo Mimi nimgoogle huyo jamaa yenu, Si afadhali nitumie bando kumgoogle membee. Maaana nikiharibu bando langu kumgoogle jamaa yenu, nitakutana na speech ya mitusiii adi tajuta.
Ndio maana mnataka kuua upinzani,bila Lissu kuwabana mbavu hizo ajira 13,000 kipindi hiki cha kampeni zisingepatikana!
 
JPM tena 2020✓

Kuna mtu anataka kulia hapa, akiona jinsi Hesabu zake za kupata miburunguti ya midolla kutoka somewhere zinavyoyeyuka Kwa Kasi na kila uchwao wananchi wakizidi kumzodoa Kwa agenda zake za kuwakabidhi wananchi Kwa mamba asiye na huruma!!

Magufuli Selema.

Yalija!
 
Mpinzani wa CCM ni ccm wenyewe! ili kue na upinzani mzito lazima mgombea upinzani atoke ccm , bila hapo tunaenda mpaka 2100, mtajipa moyo sana lakini ata akisema asiendelee na kampeni ana ushindi mzito kwahio mwache atekeleze wajib tu
ugoro-ugoro-ugoro
 
Huko huko Tweeter JPM anapewa za uso sana,nenda kasome comments!Lakini pia imeanzishwa Poll huko,JPM kagalagazwa vibaya mno!

sehem pekee iliokua imebaki ya lissu ni jamii forum na uku tayar tushajielewa hatuna mda wa hio saccoss, youtube lissu chali, twitter nako chaliii, jamii forum nako tumeingia sasa
 
sehem pekee iliokua imebaki ya lissu ni jamii forum na uku tayar tushajielewa hatuna mda wa hio saccoss, youtube lissu chali, twitter nako chaliii, jamii forum nako tumeingia sasa
Weka Poll uone JPM anavyogalagazwa!
 
Weka Poll uone JPM anavyogalagazwa!

poll si ni october wacha porojo, mtafutieni usafiri uyo mwanamke wa belgium arudi kwao, na tena alisema ndege hazina umuhimu arudi na baiskeli kama anaongea viitu venye maaana
 
Weka Poll uone JPM anavyogalagazwa!
Ha ha ha eti muweke Poll, ili Missile of the National, Return of the Undertaker na My Son Drink Water wapige kura na waje wajitekenye eti jamaa kapata kura nyingi humu! Teh teh teh teh mna vituko, humu Kuna watu mna ID kumi kumi yunawajua mjue!
 
Ha ha ha eti muweke Poll, ili Missile of the National, Return of the Undertaker na My Son Drink Water wapige kura na waje wajitekenye eti jamaa kapata kura nyingi humu! Teh teh teh teh mna vituko, humu Kuna watu mna ID kumi kumi yunawajua mjue!
Hamkosagi visingizio!
 
poll si ni october wacha porojo, mtafutieni usafiri uyo mwanamke wa belgium arudi kwao, na tena alisema ndege hazina umuhimu arudi na baiskeli kama anaongea viitu venye maaana
Jifunze kuandika kwanza,rudi shule bado hujachelewa! Pia huwa sijibizani na watu wa aina yako, badala ya kuongea hoja unalepa mipasho na matusi!
 
Back
Top Bottom