technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Tutakuja kuangalia wasanii sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mfano Geita na Mwanza tu mnauwezo wa kupata viti vingapi vya Ubunge? CDM ma Kanda ya ziwa wapi na wapi ? Mshasahau 2015? Au Yani umati wa mgombea wenu na PM majaliwa unalingana alafu mnasema kanda ya ziwa ngome yenu!kama ngome yake ya kanda ya ziwa rasmi imekua ngome ya Chadema ndio aje kufufuka Mbeya embu kuwa serious basi babu Yehodaya
Amini nakuambia Magufuli ataondoka Mbeya akiwa mgonjwa wa sonona.Kesho anaingia kwa mbwembwe.
Kumbe sasa hivi mmeanza kuangalia 'umati wa watu'Hivi mfano Geita na Mwanza tu mnauwezo wa kupata viti vingapi vya Ubunge? CDM ma Kanda ya ziwa wapi na wapi ? Mshasahau 2015? Au Yani umati wa mgombea wenu na PM majaliwa unalingana alafu mnasema kanda ya ziwa ngome yenu!
mapokezi gani nanisehemu ganiNimeona mapokezi yake, inatubidi chadema tufanye namna ili kuokoa jahazi mbeya.
Safari hii tutamrushia makopo ya mikojo.Magufuli kama ingekuwa ni uwezo wake Mbeya asingekanyaga kabisa, sema basi tu atafanyaje, 2015 alizomewa pale hana hamu.
Mgombea wenu anazidiwa hadi na majaliwa! Alafu eti mnashinda Urais how come!Kumbe sasa hivi mmeanza kuangalia 'umati wa watu'
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3577][emoji3577][emoji382][emoji382]
Kesho wamiliki wa malori mabovu na matera ya trekta ni siku yao ya mavuno.Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
HahahahaMagufuli hategemei kura kuwa rais, bali anategemea tume isiyo huru ya uchaguzi na vyombo vya dola kutangazwa mshindi.
Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Unaijua Mbeya au unaisikia???Dk MAGUFULI kesho anatua MBEYA Chadema matumbo moto
majidai yenu yanaenda kuzimwa kesho mbeya
Siasa sio mchezo. Tulia kwanza utaandika haya kesho.Magufuli kama ingekuwa ni uwezo wake Mbeya asingekanyaga kabisa, sema basi tu atafanyaje, 2015 alizomewa pale hana hamu.
Angalia maandalizi yameanza leo wanasema wanaondoa nuksi alizoziacha msaliti Lissu. Angalia kwa macho yako hapa chini.Magufuli kama ingekuwa ni uwezo wake Mbeya asingekanyaga kabisa, sema basi tu atafanyaje, 2015 alizomewa pale hana hamu.